T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,179
- 28,335
Ukiwa na hela/pesa/fedha yote yanawezekana kwa kweli
Huwezi kumpangia mwanamke/mpenzi/mke kama huna uwezo wa kumutimizia mahitaji yake sitahiki.
Mkuu mtoa mada nimekusoma vizuri kuwa una uwezo wa kumundu mwanamke kimatunzo[una hela]
Usimwombe musamaha wewe kausha na zidisha mapenzi/mahaba kwake maana tayari umeshajua ukweli
Huwezi kumpangia mwanamke/mpenzi/mke kama huna uwezo wa kumutimizia mahitaji yake sitahiki.
Mkuu mtoa mada nimekusoma vizuri kuwa una uwezo wa kumundu mwanamke kimatunzo[una hela]
Usimwombe musamaha wewe kausha na zidisha mapenzi/mahaba kwake maana tayari umeshajua ukweli