tinkibiruka mhaya
JF-Expert Member
- Jul 28, 2016
- 926
- 790
Hicho
Hicho ndicho ninachofanya kuplay part yangu as a woman no way outSi unaona wanavyoshauriana hapa wanamjaza mwenzao huku ndoa inateketea. Hamna kitu kinaharibu mahusiano kama Ego, maana am sure hadi jamaa amekuja kuomba ushauri hapa basi hiko kitu kimemuuma sana ila ndio 'uanaume' nao umeshika hatamu.
Kwa wanawake siku zote tunafundishwa kujishusha na ndoa nyingi ukifatilia utaona zinadumu sababu ya uvumilivu wa mwanamke. Pole dear ila jitahid utimize wajibu wako tu vizuri kama mke mwenyewe atajirudi tu.
Mkuu kabwinyola mradi umetambua kosa lako na kwa afya ya ndoa yako muombe tu msamaha huyo ni mkeo, na utaona jinsi atakavyofurahi na amani itarudi ndani ya nyumba na wala hawezi kukudharau.