Heisenberg
JF-Expert Member
- Apr 26, 2017
- 1,683
- 2,906
Habàri wana JF. Kwanza nitoe pole kwa kila alieguswa na msiba huu mkubwa kwa Taifa letu. Pia nitoe lawama zangu kwa Aliesitisha Uokoaji eti kwa kuhofia giza.
Leo nimesafiri na Baba yangu mzazi kutoka Dar kwenda Morogoro nikimuendesha kwa gari lake binafsi
Hii safari niliijua Tangu mwanzo wa wiki hii, kwani nilipewa Taarifa ya harusi ya ndugu yetu wa karibu anayeishi Morogoro. Hivyo mzee aliniomba tuambatane naye kwenye safari. Hivyo baada ya kumaliza mishe zangu za wiki jana jioni ijumaa nilirudi home ili leo tuanze safari.
Mzee wangu ni mtu mzima 55 + age. Na pia ni Mtumishi wa mungu/ Mchungaji. Ni mtu wa dini sanaaaa.
Baada ya kufika home jioni nikachukua flash disk yangu na nikaandaa playlist yangu yenye nyimbo za blues za Westlife, Backstreet boys, na nyingine za blues.
Asubuhi tualivyo amka na kunywa chai tukasali na kuanza Safari. Nikatoa flash ya mzee na kuweka flash yangu kwenye player ya gari. Mziki ukawa unatusindikiza huku tukiwa na mazungumzo ya hapa na pale.
Baada ya kufika Mlandizi mzee akasema amependa sana hizi nyimbo. Akaniuliza ni nyimbo za namna gani? Kwani hazijui. Nikamwambia ni nyimbo za dini za huko marekani na ulaya. Hakuonesha kushtuka ila akasema wanaimba vizuri sana hivyo anaomba nimuwekee kwenye flash yake na yeye awe anazisikiliza. Nikamjibu sawa.
Sasa kama unavyojua hizi nyimbo ni za mapenzi tena deep love so nahofia mzee akiwa anazisikiliza na watu wake wa karibu hasa watumishi wenzie je watamuonaje??
Naomba nipe ushauri nifanye nini?
Anasema tena amependa sana hizi nyimbo
1. Queen of my heart
2. My love
3. fool again
4. you raise me up
5. I have a dream
6. Swear it again
7. Unbelievable
Na nyingine
Leo nimesafiri na Baba yangu mzazi kutoka Dar kwenda Morogoro nikimuendesha kwa gari lake binafsi
Hii safari niliijua Tangu mwanzo wa wiki hii, kwani nilipewa Taarifa ya harusi ya ndugu yetu wa karibu anayeishi Morogoro. Hivyo mzee aliniomba tuambatane naye kwenye safari. Hivyo baada ya kumaliza mishe zangu za wiki jana jioni ijumaa nilirudi home ili leo tuanze safari.
Mzee wangu ni mtu mzima 55 + age. Na pia ni Mtumishi wa mungu/ Mchungaji. Ni mtu wa dini sanaaaa.
Baada ya kufika home jioni nikachukua flash disk yangu na nikaandaa playlist yangu yenye nyimbo za blues za Westlife, Backstreet boys, na nyingine za blues.
Asubuhi tualivyo amka na kunywa chai tukasali na kuanza Safari. Nikatoa flash ya mzee na kuweka flash yangu kwenye player ya gari. Mziki ukawa unatusindikiza huku tukiwa na mazungumzo ya hapa na pale.
Baada ya kufika Mlandizi mzee akasema amependa sana hizi nyimbo. Akaniuliza ni nyimbo za namna gani? Kwani hazijui. Nikamwambia ni nyimbo za dini za huko marekani na ulaya. Hakuonesha kushtuka ila akasema wanaimba vizuri sana hivyo anaomba nimuwekee kwenye flash yake na yeye awe anazisikiliza. Nikamjibu sawa.
Sasa kama unavyojua hizi nyimbo ni za mapenzi tena deep love so nahofia mzee akiwa anazisikiliza na watu wake wa karibu hasa watumishi wenzie je watamuonaje??
Naomba nipe ushauri nifanye nini?
Anasema tena amependa sana hizi nyimbo
1. Queen of my heart
2. My love
3. fool again
4. you raise me up
5. I have a dream
6. Swear it again
7. Unbelievable
Na nyingine