Ndio maana yakeNisaidieni bure.
Nimejengeka na mentality kua hela ya mke ni yamke na ya mume niyafamilia.
Jambo linalonifanya nione bora kuoa golikipa tu kuliko kuoa mke alonakazi iso na msaada ndan ya nyumba. Hali ikoje?
Kwani ndoa/familia ni ya nani? Baba, mama au wote?Nisaidieni bure.
Nimejengeka na mentality kua hela ya mke ni yamke na ya mume niyafamilia.
Jambo linalonifanya nione bora kuoa golikipa tu kuliko kuoa mke alonakazi iso na msaada ndan ya nyumba. Hali ikoje?
Kuna faida za kuoa mke alie na kazi au biashara.
Likitokea lolote yeye ana uwezo wa kuendesha familia.
Inategemea maelewano yenu, kama una kipato kikubwa muachie hela yake afanyie vitu vyake vidogo vidogo kama akijisikia kukusaidia chochote ni yeye sio ndiyo uipigie mahesabu.
Kama kipato cha kawaida basi mnaweza gawana majukumu yeye anaweza deal na mambo ya ndani wewe ukawa unadeal na vitu vikubwa mf. Ujenzi...ada za watoto...uwekezaji na n.k
Ukinunua kila kitu mwisho wa mwezi hata hayatumii hela kubwa.Mambo ya ndani ndo yanatumia hela kubwa sana maana ni kila siku lazima kula, kufua,. nk kujenga ni kidogo kidogo
Nimekua na hofu sana,mana naskia na dharau pia wanazoKuna faida za kuoa mke alie na kazi au biashara.
Likitokea lolote yeye ana uwezo wa kuendesha familia.
Inategemea maelewano yenu, kama una kipato kikubwa muachie hela yake afanyie vitu vyake vidogo vidogo kama akijisikia kukusaidia chochote ni yeye sio ndiyo uipigie mahesabu.
Kama kipato cha kawaida basi mnaweza gawana majukumu yeye anaweza deal na mambo ya ndani wewe ukawa unadeal na vitu vikubwa mf. Ujenzi...ada za watoto...uwekezaji na n.k
Kama anakupenda hawezi kukudharau kisa kipato chako, jiaminiNimekua na hofu sana,mana naskia na dharau pia wanazo
Mwanamme wa kweli hamtegemei mwanamke kwenye suala la kipato....nawashangaa wanaume wanaotafuta wake kwa kuangalia eti awe na kazi....kwa madai eti kusaidiana majukumu au endapo mme akifa mwanamke asaidie watoto...na mkifa nyote je!....amini nawambie ukitaka kulinda status yako kama mwanamke oa asie na kaziNisaidieni bure.
Nimejengeka na mentality kua hela ya mke ni yamke na ya mume niyafamilia.
Jambo linalonifanya nione bora kuoa golikipa tu kuliko kuoa mke alonakazi iso na msaada ndan ya nyumba. Hali ikoje?