Kama wiring ipo connected vizuri lazima circuit breaker za nyumba zote zenye umeme zi trip
Kwanini usichukue moja kwa moja kutoka nyumba moja wapo?
Hivi sehemu ambayo kumefungwa feni liwe panga boy au kata kiuno (ciling fan) mimi nikatoa hapo lile feni nikaacha ile regulator zile wire za feni nikafunga hapo streight holder na kupachika hapo balbu (eneg sever)hivi nikienda kuwasha kwenye swich na kuzungusha regulator gia 1,2.3.4.5 hivi ile taa itaongezeka mwanga?
Naomba kujuzwa mimi sikusomea umeme na kama haliwezekani tatizo litakuwa nini maana karenti zinazoingia pale na zile zile live na neturo.
Hapo system zitaingiliana na Earth automatically zitaripoti kama tatizoToa maelezo ya kina ueleweke
kwanini?kwani mfumo wa three phase utatofautiana na huo?maana ktk 3phase kuna live 3 lkn zote zina share neutral moja hiyo short au faulty itatokeajeKama wiring ipo connected vizuri lazima circuit breaker za nyumba zote zenye umeme zi trip
Ina wezekana vizuri tu ila kisheria ni kosa wakikukamata weeeeeee utaozea gelaNimeuliza ili nijue tuu kama inawezekana maana kila nikiona line lazma iambatane na neutrol yake