Je nii kweli UDA imelipiwa?

georgemwaipungu

JF-Expert Member
Jul 7, 2015
2,779
589
Ikiwa UDA ni Mali ya wanahisa wote yaani serikali, na Kisena iweje serikali isijue Nini Kinaendelea ndani ya mwendo kasi?

Je? Ni kweli kiasi kilicholipwa na Simon Group Kilitokana na, pesa za Kampuni?

Je? Pesa Hiyo haitokani na mauzo ya UDART?
Ikiwa zinatokana na pesa za mauzo. Je? Rais alikuwa hajui usanii huo?
Je? Wakati anakopa pesa bank ya NMB aliwashilikisha upande wa pili?
Ikiwa hakuwashirikisha je? Alikuwa na maana kampuni ni yake binafsi ya UDART?

kama alijua yeye ni mwanahisa kwanini hakuwashirikisha upande wa pili?
Mwisho. Kweli kuna nia ya kuondoa Ufisadi katika Serikali hii?
 
Mkuu suala la UDA limedhihirisha pasi na shaka kuwa serikali za CCM ni walea ufisadi wa kiharamia.

Iwe ESCROW na vyote vya kifisadi upo mkono wa CCM kupitia serikali
 
Mkuu suala la UDA limedhihirisha pasi na shaka kuwa serikali za CCM ni walea ufisadi wa kiharamia.

Iwe ESCROW na vyote vya kifisadi upo mkono wa CCM kupitia serikali
Wamekuwa wanapiga makofi hata kwa vitu vya kipumbavu.
Sikutegemea kabisa Rais kuwapongeza Simon Group kwa kulipa Tsh. Billion 5 wakati ni makusanyo ya UDART Yenyewe.
Tena kukubali kupokea pesa hizo ni kujiingiza kwenye chambo ya kulipa deni la Billion 50+ la kisena analodaiwa na NMB
 
Niliposoma definition ya NEGRO kwenye encyclopedia Britannica (1798), nilijiuliza maswali mengi na hadi leo naendelea kuchunguza kwa nini iliandikwa hivyo.
Hata hivyo, yatupasa kuendelea kutafakari tukioanisha na matukio halisi.
 
kutegeme mapya ndani ya ccm ni ngumu kwa sababu wao ndio waleaji wakuu wa ufisadi
 
Back
Top Bottom