Je, ni vyakula gani ambavyo anapaswa kula mwanamke ambaye amejifungua ili kuweza kurejesha hali yake kuwa sawa na pia aweze kuwa na maziwa mengi kwaajili ya kumnyonyesha mtoto?
Mboga za majani, samaki, uji wa muhogo au dona aweke pilipili Manga. Ukipata Unga au majani ya mlonge akachanganya kwenye chakula chake, shida ya maziwa itaisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.