Je, ni sawa kuimba wimbo wa taifa kanisani?

Je, ni sawa kuimba wimbo wa taifa kanisani?

Nipe Andiko

Senior Member
Joined
Jan 20, 2017
Posts
133
Reaction score
133
Nimekuwa nikisikia baadhi ya Wakristo wakiimba wimbo wa Taifa kanisani, mfano Kanisa Katoliki. Je unadhani ni sahihi kuimba wimbo wa taifa kanisani?

Ina maana wimbo wa taifa unaimbwa mahali popote au una mahali maalum unapostahili kuimbwa? Sisemi ni dhambi, bali nataka kujua tu, hili jambo limekaaje!

Ahsante.

5bb76b3791c6749bdc799d21defea668.jpg
 
Inategemea kama siku hiyo ni public holiday hasa new year hivi dude linapigwa ni sehemu ya maombi
 
Nilienda Uganda mwak 2013, Usiku tukaingia ukumbi mmoja wa show za mziki na maigizo, ilipofika saa 6 kamili usiku wakasimamisha show ukaimbwa wimbo wa taifa. Nikauliza wenyeji wakasema huku ni kawaida..... Sasa kwa kesi ya wimbo wa Taifa la kwetu sidhani kama kuna shida kuuimba kanisani kwanza wimbo wenyewe tu ulivyo ni sala tosha kwa mwenyezi Mungu aibariki Tanzania, Africa na watoto wake. "Mungu ibariki Africa.... Mungu ibariki Tanzania.... etc"
 
Ni sawa ndio (kwa asilimia 100)

Wimbo wenyewe ni sala kamili

Pia uzalendo ni popote pale

Na wale Walokole wanao weka kabisa bendera ya taifa kwenye madhabahu nawapa hongera sana na sana
 
Kwa malkia huku, baada ya pati nyingi za vijana mwimbo wa mwisho ni God Save the Queen.
 
Nimekuwa nikisikia baadhi ya Wakristo wakiimba wimbo wa Taifa kanisani, mfano Kanisa Katoliki. Je unadhani ni sahihi kuimba wimbo wa taifa kanisani?

Ina maana wimbo wa taifa unaimbwa mahali popote au una mahali maalum unapostahili kuimbwa? Sisemi ni dhambi, bali nataka kujua tu, hili jambo limekaaje! Ahsante.

5bb76b3791c6749bdc799d21defea668.jpg
Kwani wimbo huo ni wa ainagani? Mbali na neno WIMBO WA TAIFA. Unajuwa serekali sometimes inawaonaga watanzani mapongo sana,Kumbuka kauli ya serekali nasema eti...yenyewe haina dini ila watu wake ndio wanadini, hapo hapo! serekali ina kwambia mimi nawewe ndo serekali, wakiat mimi na wewe tunazo dini, huu ni unafiki wa hali ya juu, Hivyo nirudi ktka mada ya msingi kuhusu wimbo wa taifa, wimbo wa taifa Nihalali kuimbwa kanisani kwa Sababu wimbo huo ni KWAYA ambapo umeimbwa na wakiristo kwa maelekezo ya serekali, tukifikia hapa kunakitu utakiona kupitia maelezo yangu hapo juu☝☝,Hivyo mkatoliki kuimba wimbo huo ni halali na wanafaham maana ya huo wimbo, Tukifikia hapa nikupe jambo moja kwamba taifa leutu ni taifa la kikristo, na ukristo wenyewe nihao ulie waona wakiimba wimbo huo ktk kanisa, na ndio dhehebu kubwa ambalo limeungana na serekali ulimwenguni,, hivyo faham ukrsto umemezwa na dhehebu moja kubwa ulimwenguni ambalo ni Katolic,, pia nisikuache mbali kwamba mazehebu yote ulimwenguni yameungana kw jambo moja tu, na hii niagenda yasiri sana" lipi jambo moja hilo?" NIKUHAKIKISHA KWNAMNA YEYOTE ILE UISILAM UTOKOMEE KABISA KTK HUU ULIMWENGU , ACHA NIISHIE HAPO KWALEO maana nimada ndefu na ninzito sana.
 
Wakatoliki huwa tunaimba Wimbo huo, katika Matukio nyeti tuu !, Matharani Mwaka mpya, ili kuliombea Taifa letu.
 
Nipo najiuliza hv..

~Hao wanaoimba huo wimbo ni watu wa taifa hilo?mf.ni watanzania?

~Hilo kanisa lipo ndani ya hiyo nchi inayo miliki wimbo huo?

~Makusudi yao ni nn wakati wa kuimba wimbo huo?maana ni wa sala.

~km majibu yote ni ndio hakuna shida,kwanza wanaombea taifa,pili kanisani kuna watoto sio kanuni kuwa lzm watoto wajifunze wimbo shuleni hata kanisani,nyumbani na huo ndio uzalendo.
 
Kiufupi tu tambuweni kwamba! Huo wimbo ni kwaya, na kama ni kwaya?" majibu yake ni kwambaa kwaya huimbwa wapi?" Na akinani huusika na wimbaji huoo?" ....jibu unalo mwenyewe, usiulize mtu tena
 
Back
Top Bottom