Naombeni ushauri wana Jamiiforums.
Kuna ofisa mmoja alinialika kwenye warsha nilikwenda na kushiriki siku kadhaa nikiwa huko akanitaka kimapenzi nikamweleza kuwa Niko kwenye ndoa niliporudi nyumbani akatuma meseji ya mapenzi kwangu kuwa nikimpa atanifanyia makubwa.
Hiyo meseji ikaonwa na Mme wangu ugomvi mkubwa ukatokea na nikamweleza Mme Wangu hali halisi, na kumtaarifu yule afisa kilichojili.
Sasa siku chache zijazo kuna semina nyingine, jana kanitumia ujumbe hawezi kuniita tena eidha nichague ndoa au pesa na kujiendeleza kielimu.
Naomba ushari kabla sijamuanika kwani Nina meseji zake nyingi za kijinga na nimeona kama unyanyasaji kwangu.
Kuna ofisa mmoja alinialika kwenye warsha nilikwenda na kushiriki siku kadhaa nikiwa huko akanitaka kimapenzi nikamweleza kuwa Niko kwenye ndoa niliporudi nyumbani akatuma meseji ya mapenzi kwangu kuwa nikimpa atanifanyia makubwa.
Hiyo meseji ikaonwa na Mme wangu ugomvi mkubwa ukatokea na nikamweleza Mme Wangu hali halisi, na kumtaarifu yule afisa kilichojili.
Sasa siku chache zijazo kuna semina nyingine, jana kanitumia ujumbe hawezi kuniita tena eidha nichague ndoa au pesa na kujiendeleza kielimu.
Naomba ushari kabla sijamuanika kwani Nina meseji zake nyingi za kijinga na nimeona kama unyanyasaji kwangu.