Je, Ni sahihi ndege hizi kupewa jina la 'hapa kazi tu'?


HIYO NI KAULI MBIU YA RAIS SIYO YA CHAMA ZINGATIA HILO.
 
Maprofesa wetu ni kama hawa
1. Juma Kapuya
2. Ibrahim Lipumba
3. Mbarawa
4. Tibaijuka

Nadhani inabidi walioweka category ya profesa katika academics washitakiwe kwa shambulizi na utesi wa akili za watu
 
utadharaulika kwa komenti za hovyo kama hizi!

Usijitoe ufahamu pasco!
 
Waache Waite uwezijua kauli mbiu ikiisha na yenyewe imeisha .
 
Xaxa huyuu jamaa kam angetowa pesa zake za mfuniko kununua hizoo ndege ingekuwaje jamani eeh?
Maanake hatupumui kabisa dooooo..
 
Wakichukua nchi waziandke ukuta
 
Acha kuvuta wese
 
Pasco usinitafutie ban ya lazima naomba unitake radhi!!
 
Pasco katika ubora wako.
 
Acha kuvuta wese
MKUU HELLO, umejuaje? !.
Kiukweli napenda harufu ya petrol, thinner, nail Polish removal, na spirit! . Sometimes nanyunyuzia kwenye handkerchief na kunusa!.
Kinywaji changu ni Chivas na John Walker Black Label! .
Pasco
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…