Je,ni sahihi matumizi ya neno Mnyamwezi?

Jibu watakuwanalo Wazaramo.

Miaka ya90 nilifika Dar kwa ajili ya kutafuta kazi, sikuwa peke yangu, tulikuwa kundi vijana ka'5'ivi.

Kati yetu mmoja alikuwepo mnyamwezi, na msukuma pia alikuwepo.

Kilichokuja kunishangaza, yule mnyamwezi aligombaniwa na wanawake kama mpira wa kona, hasa majimama yenye hela zao ili wamlee kwa gharama zozote zile.

Nikijua wanyamwezi na wasukuma ndiyo walewale, nikataka nitembekee nyota ya msukuma, nikajiita nami msukuma.

Wote siye wasukuma na wengine tukawa tunaswagwa shambani, kwamba siye ni mijitu tu yanayostahili kazi ngumu, lakini si kwa mwenzetu mnyamwezi.

Sasa nikaja kuuliza wenyeji nini maana ya jambo hilo!

Nikaambiwa kuwa wanyamwezi huku pwani wanapendwa na kuheshimika sana na wazaramo, hawana lolote la kusema wakiona mnyamwezi awe wa kike ama wa kiume, wote ni mali adimu.

yaani ni kama mbwa aonavyo chatu na kujisogeza bila shurti mzaramo akiona myamwezi!

Nikasema sawa, lakini nini sababu?

Nikaambiwa ni wazuri sana kwenye mambo yetu yalee!

Kama ni dozi, basi wao hutoa full package!
Ahsante sana kwa kutupamba mkuu
Nipe namba yako nikutumie salio.
 
Kipindi Cha biashara ya utumwa mji wa Tabora ulikuwa upo juu kutokana na biashara ya utumwa mpk ukapelekea kuwa na sarafu yake,

Sasa watumwa walikuwa wanachukuliwa kule na kuanza safari ya kuelekea pwani (nazungumzia miji km b'moyo,kilwa na zenji)kwa ajili ya kupakiwa kwenye mashua halafu kusafirishwa huko utumwani

Sasa baada ya biashara ya utumwa kuisha in maana wale watumwa walio safirishwa hawakurudi walibaki huko huko.

Kwa hyo tunaamini baadhi ya watu weusi wanaoishi ughaibuni(ambao walienda km watumwa)asili yao Ni Tabora
Na kwa mtindo wa maisha ya kileo tunaiga maisha ya nchi zilizoendelea za ulaya na amerika so tukitaka kumuonesha huyu mtu amestaarabika au anaishi maisha flani hv ya utofauti na jamii zetu za kiswahili au akiishi Kama wale watu weusi ulaya tunamuita MNYAMWEZI

Na ndo maana ulaya au zaidi marekani kunaitwa UNYAMWEZINI maana wanyamwezi walipelekwa huko japo sio kwa kupenda Bali utumwani

Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
 
Jibu watakuwanalo Wazaramo.

Miaka ya90 nilifika Dar kwa ajili ya kutafuta kazi, sikuwa peke yangu, tulikuwa kundi vijana ka'5'ivi.

Kati yetu mmoja alikuwepo mnyamwezi, na msukuma pia alikuwepo.

Kilichokuja kunishangaza, yule mnyamwezi aligombaniwa na wanawake kama mpira wa kona, hasa majimama yenye hela zao ili wamlee kwa gharama zozote zile.

Nikijua wanyamwezi na wasukuma ndiyo walewale, nikataka nitembekee nyota ya msukuma, nikajiita nami msukuma.

Wote siye wasukuma na wengine tukawa tunaswagwa shambani, kwamba siye ni mijitu tu yanayostahili kazi ngumu, lakini si kwa mwenzetu mnyamwezi.

Sasa nikaja kuuliza wenyeji nini maana ya jambo hilo!

Nikaambiwa kuwa wanyamwezi huku pwani wanapendwa na kuheshimika sana na wazaramo, hawana lolote la kusema wakiona mnyamwezi awe wa kike ama wa kiume, wote ni mali adimu.

yaani ni kama mbwa aonavyo chatu na kujisogeza bila shurti mzaramo akiona myamwezi!

Nikasema sawa, lakini nini sababu?

Nikaambiwa ni wazuri sana kwenye mambo yetu yalee!

Kama ni dozi, basi wao hutoa full package!
 
Kipindi Cha biashara ya utumwa mji wa Tabora ulikuwa upo juu kutokana na biashara ya utumwa mpk ukapelekea kuwa na sarafu yake,

Sasa watumwa walikuwa wanachukuliwa kule na kuanza safari ya kuelekea pwani (nazungumzia miji km b'moyo,kilwa na zenji)kwa ajili ya kupakiwa kwenye mashua halafu kusafirishwa huko utumwani

Sasa baada ya biashara ya utumwa kuisha in maana wale watumwa walio safirishwa hawakurudi walibaki huko huko.

Kwa hyo tunaamini baadhi ya watu weusi wanaoishi ughaibuni(ambao walienda km watumwa)asili yao Ni Tabora
Na kwa mtindo wa maisha ya kileo tunaiga maisha ya nchi zilizoendelea za ulaya na amerika so tukitaka kumuonesha huyu mtu amestaarabika au anaishi maisha flani hv ya utofauti na jamii zetu za kiswahili au akiishi Kama wale watu weusi ulaya tunamuita MNYAMWEZI

Na ndo maana ulaya au zaidi marekani kunaitwa UNYAMWEZINI maana wanyamwezi walipelekwa huko japo sio kwa kupenda Bali utumwani

Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
Kwanza ungejua ni kina nani waanzilishi wa matumizi ya neno "Mnyamwezi" kinyume na jina la kabila.
Neno hili"Mnyamwezi" katika matumizi mbadala lilipatikana katika vijiwe vya WAHUNI(watoto wa mjini),Vijiwe vya wavutaji ganja n.k.
Katika miaka 90 mkoa wa Tabora ndiyo mkoa ulisifika kwa vijana wahuni,wizi ulipindukia,ghasia na vurugu za kila aina,uvutaji bang na madawa ya kulevya.
Hakuna mgeni toka mikoa mingine alikanyaga Tabora akabaki salama bila ya simulizi yoyote juu ya yaliyompata au kuyaona.
Sasa katika kipindi hiki ndiyo TV/SINEMA katika nchi yetu ya Tanzania zilikuwa zinaingia.Kupitia senema za kizungu,sasa watu wakawa wanaona ndani ya sinema/movie yale waliyokuwa wanayasikia au kuyaona yakifanywa na vijana wahuni wa Tabora.Alaaa!Kumbe wanyamwezi ni kama Yacuza.
Kifupi mtindo wa maisha wa vijana wa Tabora wa miaka hiyo uliwapendeza sana vijana wa mjini hasa watoto kitaa.Na kwa kweli haijapatapo kutokea kijana toka Tabora kuenda mji kama wa Dar na asiungane kwa haraka na masela hapo.Mnyamwezi popote pale anaaminika ni mtoto wa mji,muhuni,mishenitauni na wala siyo boya.

Hivyo "MNYAMWEZI = MTOTO WA MJINI,MUHUNI,BANDIDU,GANJA SOMOKER,GANGSTER N.K.


Hivyo ndivyo ilivyo mnyamwezi.
 
Hiyo misamiati ya mtaani tu, mingi inatokea Arusha (A-town) nilikuwa moja ya waasisi wa neno Hilo.... Kiufupi limetokana na neno "Mnyama" "Unyama" ambalo ni neno pia linalotumika kumaanisha "Ujanja" so neno Mnyama tukaliongezea kachumbari likatokea "Mnyamwezi" so badala ya kuwa "Yule jamaa Mnyama sana" kumaanisha "Yule jamaa mjanja sana" ikawa "Yule jamaa Mnyamwezi sana" So Unyamwezi-Unyama, Mnyamwezi-Mnyama .... Thank you
hujui kitu.
 
Hiyo misamiati ya mtaani tu, mingi inatokea Arusha (A-town) nilikuwa moja ya waasisi wa neno Hilo.... Kiufupi limetokana na neno "Mnyama" "Unyama" ambalo ni neno pia linalotumika kumaanisha "Ujanja" so neno Mnyama tukaliongezea kachumbari likatokea "Mnyamwezi" so badala ya kuwa "Yule jamaa Mnyama sana" kumaanisha "Yule jamaa mjanja sana" ikawa "Yule jamaa Mnyamwezi sana" So Unyamwezi-Unyama, Mnyamwezi-Mnyama .... Thank you
Acha uongoooo neno unyama/mnyama limekuja juzi tu,na mwasisi wake ni T.I.D
 
Back
Top Bottom