Je, ni sahihi kuweka biashara msibani?

Je, ni sahihi kuweka biashara msibani?

Dunia hii, msiba ni wa kwako, kwa wengine ni fursa, kuanzia muosha maiti, muuza jeneza, wagombania urithi n.k
Jitahidi kujipa furaha pale unapopata nafasi ya kuishi.​
Dah kabisa suti zako ulizokua unatamba nazo na ubonge wako wanazipunguza wanavaa
 
Biashara ni huduma. Misiba mingine watu tunatembea kilomita nzima kutafuta kabia ka kujipoza - si sawa!
 
Fursa ni popote, mimi nikiona opportunity popote pale kwanza nipige pesa lawama baadae
 
Back
Top Bottom