Je ni sahihi kuchaji laptop muda wote?

Je ni sahihi kuchaji laptop muda wote?

farazuu

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2018
Posts
379
Reaction score
497
Wadau nikiri nilinunua laptop mwaka 2010. Mara ya kwanza nikatumia ikafa betri. Nikanunua nyingine HP imekaa miaka kadhaa ikapunguza kukaa na chaji kabisa.

Swali ni je ipi sahihi kuchaji laptop muda wote unapotumia au ikifika 100% nitoe chaji ikipungua ni disconnect?

Nimeagiza PC ya kisasa latest nataka nitumie bila kuumiza betri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau nikiri nilinunua laptop mwaka 2010. Mara ya kwanza nikatumia ikafa betri. Nikanunua nyingine HP imekaa miaka kadhaa ikapunguza kukaa na chaji kabisa.

Swali ni je ipi sahihi kuchaji laptop muda wote unapotumia au ikifika 100% nitoe chaji ikipungua ni disconnect?

Nimeagiza PC ya kisasa latest nataka nitumie bila kuumiza betri.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jitahidi chaji ya pc yako iwe inachezea 20%-40% mpaka 80%-85%(yaani chaji yachini iwe 20%-40% halafu ya juu isivuke 80's%),
Ujitahidi kila mwezi uwe unachaji kuanzia 0%-100%,unaweza tumia betri yako hata miaka 10
 
Yani kama sehemu kuna umeme we Tumia chaji we chomeka chaji mda wote betri haihalibiki Wala Nini. Mana ukiwa unachaji betri ikijaa haiendelei kuchaji in stop.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah...kuchomeka chaji muda mrefu hakuna athari yoyote kwenye betri....ikifika 100% chaja inajizima yenyewe....na ndiyo njia nzuri ya kutunza betri...
Natumia Osborne 2 siachi ishuke hata 80%... hadi leo betri kama mpya

Sent using Beretta ARX 160
 
Kuweka pc kwenye moto hakuna athari yoyote. Tena mm naona ndio vizuri maana unatunia direct power lather than using stored energy in battery.

Ki msingi Laptop ina charger controller. Hii inachofanya ni kuhakikisha battery inachajiwa na inajaa. Baada ya battery kujaa utaendelea kutumia direct power until umechomoa.

Haiwezekani hata siku moja battery ikajiover charge. Labda kuwe na damage.

Kuna watu wana imani kwamba machine ikijaa charge basi achomoe aendelee kutumia. Hapo ndio anachakaza battery yake. Maana battery inavyochajiwa na kutumika ndivyo cell hupungua nguvu.

Ila kitu cha kujua kuwa. Mtu anaetumia machine muda mrefu kwenye moto yupo likely zaidi kupunguza uhai wa charger/ power adopter kuliko kuharibu battery and otherwise is true.

Issue ya hP kuua battery hii ni Comon sana. Hasa HP za zamani zina hii shida sana. Japo issue ya kufa battery ni mtambuka haina jibu la moja kwa moja lakini HP zinakufa sana battery not compared to Lenovo and Acer
 
Kuweka pc kwenye moto hakuna athari yoyote. Tena mm naona ndio vizuri maana unatunia direct power lather than using stored energy in battery.

Ki msingi Laptop ina charger controller. Hii inachofanya ni kuhakikisha battery inachajiwa na inajaa. Baada ya battery kujaa utaendelea kutumia direct power until umechomoa.

Haiwezekani hata siku moja battery ikajiover charge. Labda kuwe na damage.

Kuna watu wana imani kwamba machine ikijaa charge basi achomoe aendelee kutumia. Hapo ndio anachakaza battery yake. Maana battery inavyochajiwa na kutumika ndivyo cell hupungua nguvu.

Ila kitu cha kujua kuwa. Mtu anaetumia machine muda mrefu kwenye moto yupo likely zaidi kupunguza uhai wa charger/ power adopter kuliko kuharibu battery and otherwise is true.

Issue ya hP kuua battery hii ni Comon sana. Hasa HP za zamani zina hii shida sana. Japo issue ya kufa battery ni mtambuka haina jibu la moja kwa moja lakini HP zinakufa sana battery not compared to Lenovo and Acer
Point mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili swala halina majibu yaliyokamilika kwa asilimia 100.Jibu ni kua inategemea na laptop yenyewe.nishaua betri sana kwakutumia laptop ikiwa kwenye chaji mda wote na pia nnayo laptop ambayo naifanyia hivyo na inatunza chaji vizuri kama mpya vile

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom