Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 12,484
- 19,517
Kama wana Katiba yao inayowaongoza kufanya hivyo..., To each their Own..., Ila wenye tatizo ni wale wanaonganganiza kwenda sehemu wanayotengwa
Anyway Imani yoyote inayotenga watu kwangu mimi ni Cult.., Binafsi ningependa kundi ambalo lipo milango wazi linakaribisha kila atakaye karibia hata kama jana alikuwa pengine na kesho ataondoka... zaidi ya hapo naona kama ni kuwa enslaved mentally
Anyway Imani yoyote inayotenga watu kwangu mimi ni Cult.., Binafsi ningependa kundi ambalo lipo milango wazi linakaribisha kila atakaye karibia hata kama jana alikuwa pengine na kesho ataondoka... zaidi ya hapo naona kama ni kuwa enslaved mentally