johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,376
- 142,614
Inasemekana baada ya Kanisa Katoliki Iringa kuwataka Waumimi wake walioombewa na Mtume Mwamposya kutubu sasa katazo hilo ni kwa nchi nzima.
Je, ni sahihi Kanisa Katoliki kuzuia Waumini wake kuombewa kwa Mtume Mwamposya?
Je, ni sahihi Kanisa Katoliki kuzuia Waumini wake kuombewa kwa Mtume Mwamposya?