Je,ni sahihi ,hili Jambo limekaaje?

Je,ni sahihi ,hili Jambo limekaaje?

Itovanilo

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2018
Posts
2,310
Reaction score
5,157
Habari wanajamvi, naamini MUNGU bado anasaidia mpaka tumeiona Aprili

Moja kwa moja kwenye topic,
Je,ni sahihi mtangazaji wa dini fulani kutangaza kwenye radio/TV ambayo si dini yake?

Mfano Josefu, Rose, Marie kuwa mtangazaji/mfanyakazi wa upande mwingine

Au Fatma,Ahmed kuwa side B, upi u sahihi?

NB: Uzi huu hapo kwenye muktadha wa kidini hivyo comment za udini hapa si mahali pake

Pia majina siyo alama ya utambulisho wa dini ya mtu.naweza kuitwa Abdul ilhali Mimi ni upande mwingine

Haya nini maoni yako,tiririka kwa faida ya wengi
 
Habari wanajamvi, naamini MUNGU bado anasaidia mpaka tumeiona April

Moja kwa moja kwenye topic,
Je,ni sahihi mtangazaji wa dini fulani kutangaza kwenye radio/TV ambayo si dini yake?

Mfano Josefu, Rose, Marie kuwa mtangazaji/mfanyakazi wa upande mwingine

Au Fatma,Ahmed kuwa side B, upi u sahihi?

NB: Uzi huu hapo kwenye muktadha wa kidini hivyo comment za udini hapa si mahali pake

Pia majina siyo alama ya utambulisho wa dini ya mtu.naweza kuitwa Abdul ilhali Mimi ni upande mwingine

Haya nini maoni yako,tiririka kwa faida ya wengi
Hapa wafia dini watakupinga lakini wakristo huwaga wastaarab sana watakwambia ni sawa tu😁
 
Kwa muumini wa kweli haiwezekani, ila kama ni jina tu inawezekana sana.
 
WaTz Wana Dini lakini Serikali Haina Dini...! Embu kitaje kituo gani kinaendekeza Udini...!
Baba wa Taifa Nyerere alishawahi Kusema Viongozi hawatakiwa kuendekeza Dini kwenye utendaji wao serikalini,Lakini akaonya Mambo Ya Dini Yasipuuzwe...!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom