Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,897
- 67,394
Sio kwamba ninapotumia hiyo kauli huelewi ila unakaza kichwa ukijifanya hunielewiWatu wengi au kalibia watu wote hutumia hii kauli je ni sahihi
Nilimkuta hayupo π
Una mkutaje mtu af mda huo huo ana potea wajuzi wa lugha tupeni muongozo hii imekaaje?
Kiswahili kitarafa hicho mwanawane.Watu wengi au kalibia watu wote hutumia hii kauli je ni sahihi
Nilimkuta hayupo π
Una mkutaje mtu af mda huo huo ana potea wajuzi wa lugha tupeni muongozo hii imekaaje?
Utapigwa vibaya πNilienda kwao nikamkuta hayupo..
Kumbe kaenda kwa jamaa mkamiaji
Na wao hawakujuiKiswahili cha reja reja ndo kimejaa mitaani. Kile cha jumla jumla kilikuwepo miaka ya 90 na kinapotea maana hata (ma)shuleni wamejazana waalimu Gen Z
Sijakuelewa kabisa broSio kwamba ninapotumia hiyo kauli huelewi ila unakaza kichwa ukijifanya hunielewi
Embu tu chambueKiswahili kitarafa hicho mwanawane.
Ni maneno ya kiulaloulalo yanayo tumiwa na wahusika flani kwa mawasiliano.
Mbona viswahili viraka ni vingi sana mitaani mkuu?
Haujasikia dume zima linamwambia mwanamke 'nakutaka' likimaanisha 'nakutamani'?
Ya mtaani huwezi kuyamaliza.
Nasema hiviSijakuelewa kabisa bro
Tuanze na kurekebisha kiswahili chako ondoa "kalibia" badala yake tumia neno 'karibia'.Watu wengi au kalibia watu wote hutumia hii kauli je ni sahihi
Nilikuta hayupoWatu wengi au kalibia watu wote hutumia hii kauli je ni sahihi
Nilimkuta hayupo π
Una mkutaje mtu af mda huo huo ana potea wajuzi wa lugha tupeni muongozo hii imekaaje?
"Nilikuta hayupo"Watu wengi au kalibia watu wote hutumia hii kauli je ni sahihi
Nilimkuta hayupo π
Una mkutaje mtu af mda huo huo ana potea wajuzi wa lugha tupeni muongozo hii imekaaje?
ππ huwa nashangaa tuNasema hivi
Ninapotumia hilo neno wewe kama msikilizaji sio kwamba huelewi ila kwa sababu unafanya kazi baraza la kiswahili tz basi utaona hivo
Anyway π, usahihi wakeni SIKUMKUTA
Dah kweliiTuanze na kurekebisha kiswahili chako ondoa "kalibia" badala yake tumia neno 'karibia'.
Ssa nime mkuta hayupo ime tokea wapi"Nilikuta hayupo"
Hapa hapa ila mwishonii