Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 3,804
- 8,797
Kwa takribani mara tatu nikiwa Dar nimejionea mambo ya kushangaza. Kuna siku nimeona gari binafsi IST nyuma kwenye bumper kuna stika ama chata ya Jeshi.
Na kuna siku tena nikaona Subaru mbele pale kwenye boneti kuna pua napo kumepigwa chata ya jeshi.
Je, ni ruksa haya mambo magari ya binafsi kuwa na chata za jeshi?
Na kuna siku tena nikaona Subaru mbele pale kwenye boneti kuna pua napo kumepigwa chata ya jeshi.
Je, ni ruksa haya mambo magari ya binafsi kuwa na chata za jeshi?