funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,650
- 21,489
Hela za mtoto bado unatoa?Yeye ndo anaanzaga kunitafuta mkuu, alafu mimi sinaga muda wa kuwekeana vinyongo na mtu kwahiyo Huwa najibu tu text zake kama kawaida.
Hela za mtoto bado unatoa?Yeye ndo anaanzaga kunitafuta mkuu, alafu mimi sinaga muda wa kuwekeana vinyongo na mtu kwahiyo Huwa najibu tu text zake kama kawaida.
sasa unachotaka kwake ni niniHakuna mtoto mkuu.
Yeye ndo anaanzaga kunitafuta mkuu, alafu mimi sinaga muda wa kuwekeana vinyongo na mtu kwahiyo Huwa najibu tu text zake kama kawaida.
hii tabia wanawake wanayo, mkiachana hawapendi kabisa upate pisi nyingine nzuri ufurahi na moyo wako. kwa kifupi hawapendi uwe na furaha ukiwaacha.Tuliachana mwezi January mwaka 2018, kila mtu aka-move on na yakwake, binafsi niliumia sababu nilimpenda kweli na yeye alinipenda ila kama unavyojua sababu tu za kiufundi za hapa na pale zikatutenganisha.
Nikiri tu kuwa shinikizo kubwa la mimi na yeye kuachana ilikua ni rafiki zake. Rafiki zake walichangia pakubwa sana sisi kuachana na haikuishia hapo wakamjaza maneno akawa anatema shombo sana juu yangu, kama mwanaume wala siku-react, nikaona ni mambo ya kawaida tu yatapita.
As people say, time heals everything, with time I started getting better and I reached a point where I completely forgotten about her. Lakini pamoja na kuwa tulisha-move on karibia miaka 5 nyuma, yeye bado anaonyesha wivu sana juu yangu.
Bado anaonekana kuumia sana anionapo na mwanamke mwingine, na inapowezekana atatumia njia yeyote hata ya kusambaza sumu ili ahakikishe tumeachana, kuna muda tulikua tuki-chat Ile kishkaji tu ila through her conversations unaona kabisa kuna kitu ana push.
Kuhusu kimuonekano nisiwe muongo ni binti mzuri sana, ambaye almost kila mwanaume angependa kuwa naye, na ninawaona vijana wanavyopishana kwake. Ila ndo hivyo tu, sisi wengine tumejaaliwa mioyo migumu hatupelekeshwi na wanawake, ukileta miyeyusho unapita kushoto.
Basi ndo hivyo wakuu, najua humu kuna wakubwa zangu wenye experience kubwa kwenye hii sekta, naombeni ufafanuzi au ushauri wenu. He haya ni mapenzi au mchawi tu?
Naombeni kuwasilisha
Umeongea fact sana mkuu, maana huyu anavyo ni-monitor kimya kimya mpaka imekua kero sasa..hii tabia wanawake wanayo, mkiachana hawapendi kabisa upate pisi nyingine nzuri ufurahi na moyo wako. kwa kifupi hawapendi na furaha ukiwaacha.
Umempa attention kwahiyo lazima ahisi unampenda, ukimkaushia kila anapotuma sms jibu atalipata kuwa humuhitaji na utamsaidia yeye ku mvoe on kiukweli na wewe ku move on piaNadhani ni yeye ambaye angeulizwa, anachotaka kwangu ni nini sababu ananifuatilia sana mpaka anakua too much..
Wewe ndio umempa nafasi ya yeye kukufuatilia,ungempotezea toka mwanzo asingekufuatilia,inaonekana una enjoy sana kuona anakufuatilia But kua muanfalifu sana.Nadhani ni yeye ambaye angeulizwa, anachotaka kwangu ni nini sababu ananifuatilia sana mpaka anakua too much..