XII Tz
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 4,350
- 7,102
Tuliachana mwezi January mwaka 2018, kila mtu aka-move on na yakwake, binafsi niliumia sababu nilimpenda kweli na yeye alinipenda ila kama unavyojua sababu tu za kiufundi za hapa na pale zikatutenganisha.
Nikiri tu kuwa shinikizo kubwa la mimi na yeye kuachana ilikua ni rafiki zake. Rafiki zake walichangia pakubwa sana sisi kuachana na haikuishia hapo wakamjaza maneno akawa anatema shombo sana juu yangu, kama mwanaume wala siku-react, nikaona ni mambo ya kawaida tu yatapita.
As people say, time heals everything, with time I started getting better and I reached a point where I completely forgotten about her. Lakini pamoja na kuwa tulisha-move on karibia miaka 5 nyuma, yeye bado anaonyesha wivu sana juu yangu.
Bado anaonekana kuumia sana anionapo na mwanamke mwingine, na inapowezekana atatumia njia yeyote hata ya kusambaza sumu ili ahakikishe tumeachana, kuna muda tulikua tuki-chat Ile kishkaji tu ila through her conversations unaona kabisa kuna kitu ana push.
Kuhusu kimuonekano nisiwe muongo ni binti mzuri sana, ambaye almost kila mwanaume angependa kuwa naye, na ninawaona vijana wanavyopishana kwake. Ila ndo hivyo tu, sisi wengine tumejaaliwa mioyo migumu hatupelekeshwi na wanawake, ukileta miyeyusho unapita kushoto.
Basi ndo hivyo wakuu, najua humu kuna wakubwa zangu wenye experience kubwa kwenye hii sekta, naombeni ufafanuzi au ushauri wenu. He haya ni mapenzi au mchawi tu?
Naombeni kuwasilisha
Nikiri tu kuwa shinikizo kubwa la mimi na yeye kuachana ilikua ni rafiki zake. Rafiki zake walichangia pakubwa sana sisi kuachana na haikuishia hapo wakamjaza maneno akawa anatema shombo sana juu yangu, kama mwanaume wala siku-react, nikaona ni mambo ya kawaida tu yatapita.
As people say, time heals everything, with time I started getting better and I reached a point where I completely forgotten about her. Lakini pamoja na kuwa tulisha-move on karibia miaka 5 nyuma, yeye bado anaonyesha wivu sana juu yangu.
Bado anaonekana kuumia sana anionapo na mwanamke mwingine, na inapowezekana atatumia njia yeyote hata ya kusambaza sumu ili ahakikishe tumeachana, kuna muda tulikua tuki-chat Ile kishkaji tu ila through her conversations unaona kabisa kuna kitu ana push.
Kuhusu kimuonekano nisiwe muongo ni binti mzuri sana, ambaye almost kila mwanaume angependa kuwa naye, na ninawaona vijana wanavyopishana kwake. Ila ndo hivyo tu, sisi wengine tumejaaliwa mioyo migumu hatupelekeshwi na wanawake, ukileta miyeyusho unapita kushoto.
Basi ndo hivyo wakuu, najua humu kuna wakubwa zangu wenye experience kubwa kwenye hii sekta, naombeni ufafanuzi au ushauri wenu. He haya ni mapenzi au mchawi tu?
Naombeni kuwasilisha

