Je, ni lazima msichana kutolewa mahari?

Je, ni lazima msichana kutolewa mahari?

When the deal is too good think twice. Usipotoa mahari utatombewa mwanamke hadi useme kuoa ni dhambi. Jitahidi utoe hata nusu ya mahari upate japo kaheshma kadogo. Le me put it clear here... Usipotoa mahari yeye ndo atakua spy kwako kutoka kwao. Kila utakacho kuwa unakifanya lazma kwao wajue na mwisho wa cku watakuchana live hadi ushangae kuwa ulioa mwanamke au cctv. Try your best. NIMECOMENT AT MY OWN RISK.
 
Mahari ni kama zawadi kwa wazazi wa mwanamke kulingana na tamaduni zetu, maana tamaduni zingine mf. India wanawake ndio wanatolea wanaume mahari.

Changamoto imekuja pale wazazi wanapofanya mahari kama sehemu ya kujitoa kwenye umaskini wao, sasa kwa nyakati hizi mahari mil5 kweli! huo si mtaji kabisa

Ulazima upo kimsingi maana ni tamaduni, ni ngumu kuikwepa itachukua muda sana.
 
When the deal is too good think twice. Usipotoa mahari utatombewa mwanamke hadi useme kuoa ni dhambi. Jitahidi utoe hata nusu ya mahari upate japo kaheshma kadogo. Le me put it clear here... Usipotoa mahari yeye ndo atakua spy kwako kutoka kwao. Kila utakacho kuwa unakifanya lazma kwao wajue na mwisho wa cku watakuchana live hadi ushangae kuwa ulioa mwanamke au cctv. Try your best. NIMECOMENT AT MY OWN RISK.
Utoe usitoe kuchapiwa kupo pale pale ni itokee tu bahati upate mwanamke anaejielewa na anaeweza kuepuka vishawishi. Nothing can stop a woman from cheating except herself
 
Mahari ni kama zawadi kwa wazazi wa mwanamke kulingana na tamaduni zetu, maana tamaduni zingine mf. India wanawake ndio wanatolea wanaume mahari.

Changamoto imekuja pale wazazi wanapofanya mahari kama sehemu ya kujitoa kwenye umaskini wao, sasa kwa nyakati hizi mahari mil5 kweli! huo si mtaji kabisa

Ulazima upo kimsingi maana ni tamaduni, ni ngumu kuikwepa itachukua muda sana.
Hakika , na ukijifanya unavimba ukweni kama mimi kipindi hicho lazima uvimbiwe🤣
 
When the deal is too good think twice. Usipotoa mahari utatombewa mwanamke hadi useme kuoa ni dhambi. Jitahidi utoe hata nusu ya mahari upate japo kaheshma kadogo. Le me put it clear here... Usipotoa mahari yeye ndo atakua spy kwako kutoka kwao. Kila utakacho kuwa unakifanya lazma kwao wajue na mwisho wa cku watakuchana live hadi ushangae kuwa ulioa mwanamke au cctv. Try your best. NIMECOMENT AT MY OWN RISK.
Kwani ukioa kwa mahari ndio hawatamuweka? Watu wanatumia 50m kwenye mhari na sherehe kali na kesho anawekwa kama kawaida.

Kwanza tumeoa wanawake waliochapika huko nonstop.
 
Je ni lazima msichana kutolewa mahari???
Ni lazima na usitafute SABABU kama unatako oa fata taratibu zilizozoeleka toa maana ina maana yake kwao hutaki tafuta atakaye kutolea mahari.

Au unataka kupindua meza HUNA haja ya kutafuta justification kutotoa mahari sio uanaume.

Labda MIAKA 100 ijayo ila Kwa Sasa fata maelekezo
 
Back
Top Bottom