tzjamani
JF-Expert Member
- Oct 9, 2010
- 995
- 30
Najiuliza CHADEMA waliomba maandamano ya amani Arusha yakavurugwa na Polisi. Hii ni baada ya uchaguzi wa Meya kuchakachuliwa chanzo Chitanda. Sasa kuna ugomvi Arusha, UVCCM wanataka kumfungia CHItanda ofisini.
Je ni laana?
CHADEMA walitakiwa kuongoza kambi ya upinzani lakini mizengwe ikafanyiwa ba kina H. Rashid wa CUF, sasa wana mgogoro na H Rashid ametolewa kwenye uongozi.
Je ni laana?
Naamini wenzangu kuna mengine mengi toka wakati wa uchaguzi ambayo yametokea kuhusu CHADEMA kuonewa..................................endeleza.
Je ni laana?
CHADEMA walitakiwa kuongoza kambi ya upinzani lakini mizengwe ikafanyiwa ba kina H. Rashid wa CUF, sasa wana mgogoro na H Rashid ametolewa kwenye uongozi.
Je ni laana?
Naamini wenzangu kuna mengine mengi toka wakati wa uchaguzi ambayo yametokea kuhusu CHADEMA kuonewa..................................endeleza.