Je ni kweli watumishi wa umma hawaruhisiwi kusoma first degree?

wivu wa kishamba huu.
Kichwa cha habari kimekaa kiupotoshaji.... First degree wanaruhusiwa kusoma kwa kuchukua likizo isiyokua na mshahara ni sheria iliyopo Tanzania nafurahia kuona inatekelezwa maana hawa inservice wanaendekeza sana bata vyuoni kumbe sababu ni mshahara wa bure unaingia..... safari hii mjipange.
 
Kichwa cha habari kimekaa kiupotoshaji.... First degree wanaruhusiwa kusoma kwa kuchukua likizo isiyokua na mshahara ni sheria iliyopo Tanzania nafurahia kuona inatekelezwa maana hawa inservice wanaendekeza sana bata vyuoni kumbe sababu ni mshahara wa bure unaingia..... safari hii mjipange.
Yap, wewe ndo uko sahihi
 
Kukosa kwako boom haihusiani na mshahara wa mtu ndugu, mshahara wake matumizi yake
Mshahara unatoka serikalini,boom linatoka serikalini...kama ela zinafujwa serikalini...kusuffer kupo tu..mojawapo ni wategemea boom...haina haja ya kuumizwa kichwa angalia...rate ya utoaji wa mkopo kwa mwaka 2014/2015 ilivyotofauti na 2015/2016 .... watu walisuffer sana 2014/2015 kutokana na ufujaji pesa za serikali.....tumia muda wako vizuri kujipanga sio kutegemea vya bure bure tu.....ukisoma kwani faida ya nani?
 
Unaakili mbovu hawa inservice wanashida xana coz wameacha familia na mishahara haitoshi acha wapate mikopo akili yako sio nzuri also hao inservice wametumikia selikali na wana uhakika wakurudisha mkopo wewe he si utaanza kuisumbua serikali
 
Mshahara unatoka serikalini,boom linatoka serikalini...kama ela zinafujwa serikalini...kusuffer kupo tu..mojawapo ni wategemea boom...haina haja ya kuumizwa kichwa angalia...rate ya utoaji wa mkopo kwa mwaka 2014/2015 ilivyotofauti na 2015/2016 .... watu walisuffer sana 2014/2015 kutokana na ufujaji pesa za serikali.....tumia muda wako vizuri kujipanga sio kutegemea vya bure bure tu.....ukisoma kwani faida ya nani?
Kutoka serikalini ndio upangiwe matumizi ya huo mshahara? We muombe Mungu wako upate boom wenye mishahara yao hiyo waache waitumie watakavyo ni YAO SIO YENU
 
Kutoka serikalini ndio upangiwe matumizi ya huo mshahara? We muombe Mungu wako upate boom wenye mishahara yao hiyo waache waitumie watakavyo ni YAO SIO YENU

Sio mbaya ukiutumia mshahara wako utakavyo.....ila tu uwe ulioufanyia kazi maana ndio utajua jasho lake :)
 
Nchi zote duniani mtumishi anayeenda kusoma haki zake za mshahara hazikomi

Itakuwa ajabu sana mwaka huu kama hii serkali itafanya hivyo

Magufuli washauri mawaziri wako
 
Back
Top Bottom