Nchi hii kumekuwa na desturi ya Wakubwa, au wanaojiona kama wenye nchi kutuchagulia viongozi, na sisi wenye nchi halali tukiburuzwa!
Tulisikia Arumeru Mash. walituchagulia Siyoi, tukamkataa, Kalenga wametuchagulia tena Mgimwa Jr, heeh, tumesikia tena Chalinze wametuwekea Mrisho Jr, Je ni kweli hatujitambui kiasi hicho?
Tulisikia Arumeru Mash. walituchagulia Siyoi, tukamkataa, Kalenga wametuchagulia tena Mgimwa Jr, heeh, tumesikia tena Chalinze wametuwekea Mrisho Jr, Je ni kweli hatujitambui kiasi hicho?