Nakumbuka nilipokuwa form five, kulikuwa na wasichana wawili marafiki sana wakati tunaanza A-level, urafiki wao uliendelea mpaka muhula wa kwanza ulipoisha, muhula wa pili nakumbuka upepo wa urafiki wao ulibadilika sana tena sana, no mawasiliano wala nini ni kuchuniana tu, sasa kuna mmoja hadi tunamaliza six alikuwa tayari alibadilisha marafiki wanne tofauti kwa vipindi tofauti na mwingine alibadilisha marafiki watatu kama sikosei. Hapo ndo niligundua kuhusu tabia za hawa viumbe juu ya urafiki!! Mweee!!