Nafikiri uelewa ni tofauti hapa! Mi naelewa serikali Haina dini kwa maana hii watu wote itawahudumia bila tofauti ya dini zao ama tofauti zao ktk namna yoyote.
Pili serikali inamambo yake ambayo inasheria zake zinazoamuliwa kiserikali pasipo mitazamo ya kidini mfano mahakama zinavyoendesha kesi na hukumu, kwenye dini usiue lkn serikali ikikukamata na hatia ya mauwaji unalamba kamba!..
Fumbueni macho msichanganye vitu....