Yap! Haya ndo MAKAVU LIVE...kama wewe hujui sisi tutajuaje?
Habari za weekend wana jamii? Nna tatizo naomba mnisaidie kwa mawazo, jana nilikua na mpenzi wangu ambaye bado ni bikra na nna uhakika kuwa bado bikra,sasa kilichotokea ni kwamba tulipokua pamoja jana tulifanya romance za kawaida mpaka tukafikia kuvua nguo zote, hatukufanya mapenzi ila nilipiga brash kwenye k yake kwa kutumia umbo** wangu, tatizo lililojitokeza ni kwamba alipofika kwao akaanza kulalamika maumivu na damu zinamtoka na anasema kuwa nimemtoa bikra yake,sasa wanajamii naomba mnisaidie ni kweli bikra yaweza toka kwa dizaini hiyo?msaada tafadhalini,
Bikra haitoki kizembe ivyo
Inahitaji ugali wa nguvu na moyo mgumu
Maana ata umuandAaje hofu itakayomtawala kwenye tendo lake kwa mara ya kwanza haliwez likatoshelezea ukeni kuwa tayari 100%
Soooo!! Mshauri mmalizie tunda mjue kama kuna masalia au vp ? Jifanye na we mlimbukeni
N.B vp ulivyopiga katelelo!! Hukumchafua kwelii??
Mmmmmmmmmh! Duniani kuna mabo! Sasa kuchezeana viungo a.k.a KUNAWANA mlifanya kwa nia gani! Mbona hujipendi we mwana? Hivi unadhani wenye kesi za ubakaji walidhamiria? Ungeshajitia Kesi ya Jinai buree!
Nimeamini HATA UKINAWA KULA HULI! NA HATA UKIOGA MJINI HUENDI!!!!!!!
labda wewe mtaalam zaidi wa mambo hayo.asante kwa msaada wako