Je, ni kweli ndoto ni "reflection" ya mawazo tunayowaza kabla hatujalala?

gefa

Senior Member
Apr 4, 2014
172
149
Salaam kwenu wadau hapa mjengoni JF!

Usiku wa kuamkia leo nimeota ndoto ambayo imenfanya nitafakari ule msemo watu huwa wanasema eti ndoto ni "reflection" ya mawazo tunayowaza tukiwa hatujalala.

Ndoto yenyewe iko hivi:

Nilikua maeneo ya mtaani nikabanwa na haja kubwa, basi nkacheki mazingira ya choo karibu sikuona, ikabidi nijiongeze nikafungua begi langu la mgongoni nikachukua mfuko nikaenda pembeni nkajisaidia haja kubwa ndani ya mfuko.

Nilivomaliza nkaufunga vizuri mfuko kisha nkauweka ndani ya begi. Baada ya kumaliza nkaondoka zangu ili nkautupe huo mzigo kwenye vyoo vya hosteli ya wanafunzi hapo mtaani,, bahati mbaya nikafika huko nako nikakuta vyoo vyao vimejaa. Hapo nkashtuka usingizini.
Swali lililopelekea kuandika uzi huu ni hili.

Kama ndoto ni reflection ya mawazo ninayowaza, nashindwa kuelewa muda wangu navoupoteza kuwaza mawazo "taka" kama haya!
yaani najisaidia kwenye mfuko kisha nabeba haja ndani ya begi nazurura nayo mgongoni?

Kwani kuna ukweli katika suala hili jamani?
 
Ulivyoamka ulikuta nini hapo kitandani? Nauliza hivi kwa sababu wakati niko mtoto, ilikuwa inanitokea kama wewe lakini upande wa mkojo. Na nilipokuwa naamka kutoka ndotoni, nilikuwa nakuta godoro limelowa.
 
Ulivyoamka ulikuta nini hapo kitandani? Nauliza hivi kwa sababu wakati niko mtoto, ilikuwa inanitokea kama wewe lakini upande wa mkojo. Na nilipokuwa naamka kutoka ndotoni, nilikuwa nakuta godoro limelowa.
nlivoamka sijakuta kitu tofauti na nlivolala
 
Hii ulikunya kabisa sababu ndoto za kuota unakojoa vichakani ukishtuka unajikuta umelowanisha godoro.
Sasa mwenzetu hebu malizia hii ndoto yako 😊😊
 
Ndoto ni kile ulichowahi kufikiria, kuona, kusema au kufanya either kwa kujua ama pasipokujua.

Tuna conscious mind and sub-conscious mind.

Chochote unachokiona, kutazama ama kufikiria huwa kinatunzwa kwenye ubongo na huwa unakumbuka baadhi ukiwa katika usingizi, na ndiyo tunayoita Ndoto.
 
Salaam kwenu wadau hapa mjengoni JF!

Usiku wa kuamkia leo nimeota ndoto ambayo imenfanya nitafakari ule msemo watu huwa wanasema eti ndoto ni "reflection" ya mawazo tunayowaza tukiwa hatujalala.

Ndoto yenyewe iko hivi:

Nilikua maeneo ya mtaani nikabanwa na haja kubwa, basi nkacheki mazingira ya choo karibu sikuona, ikabidi nijiongeze nikafungua begi langu la mgongoni nikachukua mfuko nikaenda pembeni nkajisaidia haja kubwa ndani ya mfuko.

Nilivomaliza nkaufunga vizuri mfuko kisha nkauweka ndani ya begi. Baada ya kumaliza nkaondoka zangu ili nkautupe huo mzigo kwenye vyoo vya hosteli ya wanafunzi hapo mtaani,, bahati mbaya nikafika huko nako nikakuta vyoo vyao vimejaa. Hapo nkashtuka usingizini.
Swali lililopelekea kuandika uzi huu ni hili.

Kama ndoto ni reflection ya mawazo ninayowaza, nashindwa kuelewa muda wangu navoupoteza kuwaza mawazo "taka" kama haya!
yaani najisaidia kwenye mfuko kisha nabeba haja ndani ya begi nazurura nayo mgongoni?

Kwani kuna ukweli katika suala hili jamani?
maybe
 
kuweka kinyesi ndan ya begi. labda nkuna kitu au jambo unampango wa kulifanya ni najisi/ mkosi/sio sawa/mkosaji/laana
 
Salaam kwenu wadau hapa mjengoni JF!

Usiku wa kuamkia leo nimeota ndoto ambayo imenfanya nitafakari ule msemo watu huwa wanasema eti ndoto ni "reflection" ya mawazo tunayowaza tukiwa hatujalala.

Ndoto yenyewe iko hivi:

Nilikua maeneo ya mtaani nikabanwa na haja kubwa, basi nkacheki mazingira ya choo karibu sikuona, ikabidi nijiongeze nikafungua begi langu la mgongoni nikachukua mfuko nikaenda pembeni nkajisaidia haja kubwa ndani ya mfuko.

Nilivomaliza nkaufunga vizuri mfuko kisha nkauweka ndani ya begi. Baada ya kumaliza nkaondoka zangu ili nkautupe huo mzigo kwenye vyoo vya hosteli ya wanafunzi hapo mtaani,, bahati mbaya nikafika huko nako nikakuta vyoo vyao vimejaa. Hapo nkashtuka usingizini.
Swali lililopelekea kuandika uzi huu ni hili.

Kama ndoto ni reflection ya mawazo ninayowaza, nashindwa kuelewa muda wangu navoupoteza kuwaza mawazo "taka" kama haya!
yaani najisaidia kwenye mfuko kisha nabeba haja ndani ya begi nazurura nayo mgongoni?

Kwani kuna ukweli katika suala hili jamani?
Salaam kwenu wadau hapa mjengoni JF!

Usiku wa kuamkia leo nimeota ndoto ambayo imenfanya nitafakari ule msemo watu huwa wanasema eti ndoto ni "reflection" ya mawazo tunayowaza tukiwa hatujalala.

Ndoto yenyewe iko hivi:

Nilikua maeneo ya mtaani nikabanwa na haja kubwa, basi nkacheki mazingira ya choo karibu sikuona, ikabidi nijiongeze nikafungua begi langu la mgongoni nikachukua mfuko nikaenda pembeni nkajisaidia haja kubwa ndani ya mfuko.

Nilivomaliza nkaufunga vizuri mfuko kisha nkauweka ndani ya begi. Baada ya kumaliza nkaondoka zangu ili nkautupe huo mzigo kwenye vyoo vya hosteli ya wanafunzi hapo mtaani,, bahati mbaya nikafika huko nako nikakuta vyoo vyao vimejaa. Hapo nkashtuka usingizini.
Swali lililopelekea kuandika uzi huu ni hili.

Kama ndoto ni reflection ya mawazo ninayowaza, nashindwa kuelewa muda wangu navoupoteza kuwaza mawazo "taka" kama haya!
yaani najisaidia kwenye mfuko kisha nabeba haja ndani ya begi nazurura nayo mgongoni?

Kwani kuna ukweli katika suala hili jamani?
Salaam kwenu wadau hapa mjengoni JF!

Usiku wa kuamkia leo nimeota ndoto ambayo imenfanya nitafakari ule msemo watu huwa wanasema eti ndoto ni "reflection" ya mawazo tunayowaza tukiwa hatujalala.

Ndoto yenyewe iko hivi:

Nilikua maeneo ya mtaani nikabanwa na haja kubwa, basi nkacheki mazingira ya choo karibu sikuona, ikabidi nijiongeze nikafungua begi langu la mgongoni nikachukua mfuko nikaenda pembeni nkajisaidia haja kubwa ndani ya mfuko.

Nilivomaliza nkaufunga vizuri mfuko kisha nkauweka ndani ya begi. Baada ya kumaliza nkaondoka zangu ili nkautupe huo mzigo kwenye vyoo vya hosteli ya wanafunzi hapo mtaani,, bahati mbaya nikafika huko nako nikakuta vyoo vyao vimejaa. Hapo nkashtuka usingizini.
Swali lililopelekea kuandika uzi huu ni hili.

Kama ndoto ni reflection ya mawazo ninayowaza, nashindwa kuelewa muda wangu navoupoteza kuwaza mawazo "taka" kama haya!
yaani najisaidia kwenye mfuko kisha nabeba haja ndani ya begi nazurura nayo mgongoni?

Kwani kuna ukweli katika suala hili jamani?
Mimi kwa mtazamo wangu si lzm iwe hivyo "Naona kwamba Uchafu wa mawazo yako unawezekana kutoka lakini mazingira yako bado Ni kizuizi yaan mazingira unayo ishi au kukaa muda mwingi yanafanya uendelee kuwa na uchafu wa mawazo".
 
Salaam kwenu wadau hapa mjengoni JF!

Usiku wa kuamkia leo nimeota ndoto ambayo imenfanya nitafakari ule msemo watu huwa wanasema eti ndoto ni "reflection" ya mawazo tunayowaza tukiwa hatujalala.

Ndoto yenyewe iko hivi:

Nilikua maeneo ya mtaani nikabanwa na haja kubwa, basi nkacheki mazingira ya choo karibu sikuona, ikabidi nijiongeze nikafungua begi langu la mgongoni nikachukua mfuko nikaenda pembeni nkajisaidia haja kubwa ndani ya mfuko.

Nilivomaliza nkaufunga vizuri mfuko kisha nkauweka ndani ya begi. Baada ya kumaliza nkaondoka zangu ili nkautupe huo mzigo kwenye vyoo vya hosteli ya wanafunzi hapo mtaani,, bahati mbaya nikafika huko nako nikakuta vyoo vyao vimejaa. Hapo nkashtuka usingizini.
Swali lililopelekea kuandika uzi huu ni hili.

Kama ndoto ni reflection ya mawazo ninayowaza, nashindwa kuelewa muda wangu navoupoteza kuwaza mawazo "taka" kama haya!
yaani najisaidia kwenye mfuko kisha nabeba haja ndani ya begi nazurura nayo mgongoni?

Kwani kuna ukweli katika suala hili jamani?
Kwaupande wangu acha nichangie maada kutokana na ninachokijua.

Swala la maana ya ndoto linawezakufafanuliwa kwa nadharia tofauti mkuu.ila mimi nitatumia mbili nazo ni Biologicaly (kibaiolojia) na spiritualy (kiimani).

Kibaiolojia nikwamba ndoto ni reflection ya mambo uliyowaza ,uliyoona na uliyofanya katka mda wa mchana , na sio tu mchana bali hata siku kadhaa zilizopita.

Lakin pia kuna ndoto ambazo kibailojia zinafafanuliwa kwamba nikutokana na makuzi (ukuaji). Mfano ni kuota ndoto nyevu ,hii ni kwa mwanaume na mwanamke.

Tukiingia kiimani tunajuzwa kwamba ndoto ni taarifa ya mambo mazuri au mabaya ambayo yanaweza kututokea mbeleni.
Hii wazazi wetu wengi wanaamini hii.

Mfano ,mimi nilishawahi kuota takribani mara 3 ndoto moja.
Nilikuwa ninaota nimegombana sana na mzee wangu mpaka ikafikia hatua nikapigana nae ,sas ilifikia hatua akanizidi nguvu nikawa ninamkimbia sasa . katika kukimbia sana ndipo nikashituka kutoka usingizini.

Ndoto hii nilikuwa naipuuzia lakin nilipoota kwamara ya tatu ilinibidi nimshirikishe bimkubwa huenda kuna madini angeweza kunipatia juu ya hilo.

Kwakuwa mama ni mtu wa dini sana , alinisihi tu kuwa hizo ni dalili ya mambo mabaya mwanangu kwahyo kila ukiota ndoto zahivyo kumbuka tu kukemea kwa jina la muumba wako.

Kwahivyo mkuu ndoto imefafanuliwa kwanjia nyingi tu, hivyo kazi nikwako kuamini ipi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom