Je ni kweli mwanamke akimtaka mwanamme...

Je ni kweli mwanamke akimtaka mwanamme...

TAI DUME

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2014
Posts
11,204
Reaction score
30,784
kwa utafiti mdogo nimebaini kwamba kwa asilimia kubwa wanawake wakiwatongoza wanaume huwa wanafakiwa.

Hii maana yake ni kwamba ni wanaume wachache sana wanaweza kumkatalia mwanamke akimtaka kimapenzi.

Sababu kubwa inayoweza kumfanya mwanamme akatae akitongozwa na mwanamke ni kutoridhika na mwonekano wa mwanamke tena kwa kigezo kwamba watu wanamwona mwanamke huyo ni mbaya.

Tofauti na hiyo labda awe na uhakika mwanamke ameshaungua na UKIMWI.

Mimi nimeona hasa kwa watu wangu wangu wa karibu.
 
Absolutely Not true they have got a tender caring heart too ,hizo mambo za mwanamke kutomtokea mwanaume zipo baadhi tu ya society duniani
 
Wengi wamezoea kuona kipepeo anafuata ua na sio ua kufuata kipepeo.
 
Hongera kwa utafiti mkuu

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Fisi akabidhiwe bucha tenaaaa! Hata kama mgonjwa atajiongeza kujilazimisha NDIO NITAKULA LAKINI BADO NAUMWA,!
 
sijui nimtongoze nani humu kutest zali!!!

ImageUploadedByJamiiForums1400493973.375928.jpg


Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom