futikamba
JF-Expert Member
- Jan 18, 2010
- 243
- 13
Habari MMU,
Kwa muda mrefu sana, nimekuwa nikisoma mada za hapa MMU ili kujipatia mauozefu.
Ila leo, na mimi napenda nilianzishe ili tulijadili wote.
Nimefanya kautafiti kadogo na kugundua kwamba baadhi ya wanaume ambao bado hawajaoa wanakuwa hawana imani sana na wapenzi wao wenye juhudi katika kujishughulisha.
Unakuta kijana ana mpenzi wake, mathalan anafanya kazi na pia anamilikia biashara. Unaweza ku-imagine ni jinsi gani mtu huyu anakuwa busy at times.
Lakini, mpenzi huyu wa kiume anakuwa hajiamini amini. Ukimwambia mpenzi leo nikitoka job kuna masoko naenda kuyafuatilia, yeye kwa sababu ya kutojiamini kwake au kutokukuamini analeta kauzibe ya subiri nikupeleke, na mwishowe hatokei na ishu inabuma.
Au mawasiliano ya simu na wateja yanakuwa frequent kutokana na biashara mpenzi wake anayofanya. Basi ukipokea simu hata hujamaliza kuongea unaanza kumsikia "huyo nani, mwambie hivi na hivi, usiongee hivo, n.k n.k"
Pengine una contacts na watu unaowajua kabla hujakutana nae. Awe mfanyakazi mwenzako, uliyesoma nae au mfanya biashara mwenzako. Ukimpigia simu au sms, maswali kibao.
Je, ni kwanini wanaume hasa walio single hawana imani na wapenzi wao wanaojishughulisha.
Tujadili.....
Nawakilisha
FK
Kwa muda mrefu sana, nimekuwa nikisoma mada za hapa MMU ili kujipatia mauozefu.
Ila leo, na mimi napenda nilianzishe ili tulijadili wote.
Nimefanya kautafiti kadogo na kugundua kwamba baadhi ya wanaume ambao bado hawajaoa wanakuwa hawana imani sana na wapenzi wao wenye juhudi katika kujishughulisha.
Unakuta kijana ana mpenzi wake, mathalan anafanya kazi na pia anamilikia biashara. Unaweza ku-imagine ni jinsi gani mtu huyu anakuwa busy at times.
Lakini, mpenzi huyu wa kiume anakuwa hajiamini amini. Ukimwambia mpenzi leo nikitoka job kuna masoko naenda kuyafuatilia, yeye kwa sababu ya kutojiamini kwake au kutokukuamini analeta kauzibe ya subiri nikupeleke, na mwishowe hatokei na ishu inabuma.
Au mawasiliano ya simu na wateja yanakuwa frequent kutokana na biashara mpenzi wake anayofanya. Basi ukipokea simu hata hujamaliza kuongea unaanza kumsikia "huyo nani, mwambie hivi na hivi, usiongee hivo, n.k n.k"
Pengine una contacts na watu unaowajua kabla hujakutana nae. Awe mfanyakazi mwenzako, uliyesoma nae au mfanya biashara mwenzako. Ukimpigia simu au sms, maswali kibao.
Je, ni kwanini wanaume hasa walio single hawana imani na wapenzi wao wanaojishughulisha.
Tujadili.....
Nawakilisha
FK