Landala
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 997
- 473
Habari wana jf,juzi 2lipokuwa hapa mtaani kwetu tukibadilishana mawazo kuna jamaa mmoja alituambia kuwa eti mtu hasa mwanaume akiwa na nywele ndefu kichwani zinamfanya akonde,je ni kweli?naomba mwenye kujua ukweli wa hili atufahamishe ili tuujue ukweli ni upi.