Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Hivi unataka kuniambia Mbogwe na Ruangwa wanazalisha zaidi mazao ya biashara na Chakula kuliko wilaya kama kilombero,mbinga au mpanda?
Matakwa ya mfadhili.Zaidi ya Bil.820 zitatumika kujenga Barabara za lami km 530 kwenye Wilaya za Iringa DC,Kilolo,Mufindi(Iringa),Handeni -Tanga,Mbogwe-Geita na Ruangwa-Lindi.

Wilaya zingine watajengewa madaraja na Barabara za changarawe Kwa Barabara ambazo zitachaguliwa.
Screenshot_20240421-080806.jpg
Screenshot_20240421-080916.jpg
Screenshot_20240421-081001.jpg
 
Experience you won't encounter anywhere else except mwanza the unforgettable land of saa nane island and Bismarck rock 🔥🔥🔥🔥
GAfw_9hXwAAnXGn.jpeg
GBIH15oXwAAGXFL.jpeg
20220826_224006.jpg
20220812_225602.jpg
 
Back
Top Bottom