ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,023
- 49,666
Ni kujenga Barabara za lami tuu kwenye Wilaya ambazo Zina uzalishaji.huo mradi wa RISE unahusu nn?
Takribani km 500 zitajengwa Nchi nzima kwenye Wilaya zilizochaguliwa ,huko Geita ni Mbogwe,ipo Handeni,Kilolo na Ruangwa.