Kwa uelewa wangu navyojua vitu vingi vinapotengenezwa toka kiwandani huwa na vifaa vya aina mbili inavifaa vinavyodumu na kuna vifaa vinavyokufa baada ya muda so vinaitaji kubadirisha
Mfano simu kitu km kioo, batri hivi vimetengeneza ili vitumike kwa muda flan na baadae unaweza badirisha, lakin kuna ma chip na sensa ivi havijatengenezwa kubadirishwa na ukivibadiri kuna uwezekano kbsa wa icho kitu kufa au kutokua bora km ulivyokinunua. Asante.