Je, ni kweli Kampala ndio mji mzuri kuliko

Je, ni kweli Kampala ndio mji mzuri kuliko

OME123

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2010
Posts
1,497
Reaction score
606
Je ni kweli kampala ndo mzuri kwa majengo( fine buildings) ,barabara nzuri na sehemu za starehe mazuri kuliko jiji lolote Africa mashariki? Kuna report nimesoma kwa wajuzi wa haya mambo naombeni mnifumbue macho kwenye hili.kwani sijawahi kufika kampala,Nairobi na Dar es salaam nimewahi kufika.
Screenshot_2018-03-12-19-47-49.jpg
 
Most confortable vs most beautful. Anyway, ngoja waanze kuchimba mafuta yao mtaipenda. Sisi madini na gesi ambavyo vilitakiwa vizalishe angalau majiji mawili ya hatari vimebaki historia.
 
Goosh!! Hivi lifestyle ya waganda ina tofauti na Tanzania?
 
Ukifika kampala utajua nyumban kwetu ni NY hapa dar.....kwanza hizo piki piki kama milion ndan ya mji....everywhere..........na nakwambia hamna barabara hata moja tu katikati ya jiji yenye upana wa morogoro rd.....kwenye majengo kuanzia majengo maref kuanzia moja mpaka kumi kampala haiko
 
Umenikatisha tamaa kabisa
Usikate tamaa pana mazuri yake pia Kampala kuna sehemu pana bata na starehe sana kama wewe ni MTU wa starehe. Kuna sehemu inaitwa kabalagala pale ni hatari sana kwa starehe kuanzia clubbin hadi misosi ya bei chee.

Kama ni mpenzi wa mademu wako pale wanamwaga maji kama mafundi bomba. Vyote hivi ni kwa super cheap. Na ndio sifa ya Uganda its super cheap.

Nataka kuapload picha zinagoma..ungeona kwa ubora wa jiji ni kawaida sana ila starehe waganda wanaijua nao.
 
Most confortable vs most beautful. Anyway, ngoja waanze kuchimba mafuta yao mtaipenda. Sisi madini na gesi ambavyo vilitakiwa vizalishe angalau majiji mawili ya hatari vimebaki historia.


Mkapa na Kikwete wana hisa zao humo, tutafanikiwa kweli? Wanafanya mali za nchi kuwa mali zao kama vile Uarabuni.
 
Je ni kweli kampala ndo mzuri kwa majengo( fine buildings) ,barabara nzuri na sehemu za starehe mazuri kuliko jiji lolote Africa mashariki? Kuna report nimesoma kwa wajuzi wa haya mambo naombeni mnifumbue macho kwenye hili.kwani sijawahi kufika kampala,Nairobi na Dar es salaam nimewahi kufika.View attachment 712712

Absolutely true.
 
Kampala sio kubwa sana sema kizuri cha kule ni kwamba starehe ziko cheap na kila sehem tofauti na Dar ambapo pana maeneo maalum,au arusha au mbeya alafu watu wa kule wako bize na internet sana kuliko bongo.kwa wale wa kubet kule ndo balaaa.club kila mji ziko imara.usafiri watu14 gari linaondoka,shop right yao kubwa mno kuliko mlimani city. Kuna owino complex vitu cheap sana ila starehe ni nyingi mno. Ndo maana wanafunzi waliotoka bongo na kusoma Uganda utawajua tu.wakishachange ela pale border mwendo wa starehe mpaka shule akiharibu anahamia shule nyingine kule hakuna uhamisho.ni ela yako tu.
 
Kampala sio kubwa sana sema kizuri cha kule ni kwamba starehe ziko cheap na kila sehem tofauti na Dar ambapo pana maeneo maalum,au arusha au mbeya alafu watu wa kule wako bize na internet sana kuliko bongo.kwa wale wa kubet kule ndo balaaa.club kila mji ziko imara.usafiri watu14 gari linaondoka,shop right yao kubwa mno kuliko mlimani city. Kuna owino complex vitu cheap sana ila starehe ni nyingi mno. Ndo maana wanafunzi waliotoka bongo na kusoma Uganda utawajua tu.wakishachange ela pale border mwendo wa starehe mpaka shule akiharibu anahamia shule nyingine kule hakuna uhamisho.ni ela yako tu.
Ha ha ha! Vipi waliopata mimba wanaruhusiwa kuendelea na masomo huko Uganda?
 
Kmpla ni mji wa biashara. Lkn sio mji mzuri. Uwezi kuulinganisha na dar.
 
Kwa maana kuna wale waliofel LA saba na form 4 kule wanaendelea.tofauti na uku bongo.
 
Kingine ni umakini wa shule.kwa maana wanafunzi wanaotoka bongo na wakasoma shule moja zaidi ya watz 20,apo hakuna shule wala hawawezi jua English kwa maana all da time ni kiswahili.ila ukitaka awe vizuri na akimaliza ukaja badirisha matokeo yao uku tz.basi mpeleke shule ambayo haina watanzania wengi,angalau kama wakiwepo wasizidi wa5 na wawe class tofauti.apo utafurahia matokeo yake.
 
Most confortable vs most beautful. Anyway, ngoja waanze kuchimba mafuta yao mtaipenda. Sisi madini na gesi ambavyo vilitakiwa vizalishe angalau majiji mawili ya hatari vimebaki historia.
Hamna la kujivunia kwakweli awali ulikuwa ufisadi sasa ni mwendo wa kutekana,kuuwana,kupotezana. Bila shaka na ufisadi ameatamalaki sema namna ya kuuibuwa ndo zimefungwa!
 
The city of seven hills.
Kwa kweli mara ya kwanza kutembelea Kampala nilifurahishwa na mapokezi yao kuanzia airport mpaka jijini.
Ni jiji zuri kwa mandhari yake na hadhi yake pia
 
Back
Top Bottom