Je ni kweli Godbless lema akikaa mahabusu kwa siku 90, Utaitishwa uchaguzi mpya?

Kwani hiyo sero iko nje ya jimbo lake ?
Yaani wana arusha wanataka apotee kabisa kwenye anga za siasa ili liwe fundisho la kudharau mamlaka. Unajua arusha hawataki kabisa kumsikia ndiyo maana hata mahakamani hawaendi kumuangalia. Yaani hata kumsalimia pale gerezani hawaendi maana kesha wachosha kabisa. Na wana Arusha wengi wanatamani hata uchaguzi ungerudiwa leo ili wampige chini mharifu huyu anayesota sero
 
kuwa makini na ndoto zako usije ukaota unajamba ukashtuka usingizini ukajikuta umejinyea.
Naona wewe unaota mchana kweupe kabisa. Jamaa yupo Sero, yaani anayea ndoo a.k.a debe. Naona sasa wana ufipa mmeishiwa kabisa pumzi, hahahaha
 
Naona wewe unaota mchana kweupe kabisa. Jamaa yupo Sero, yaani anayea ndoo a.k.a debe. Naona sasa wana ufipa mmeishiwa kabisa pumzi, hahahaha
kuwa makini na ndoto zako usije ukaota unajamba ukashtuka usingizini ukajikuta umejinyea.
 
na haitokaa itokee
Oh kamanda, mbona inaenda kutokea. Si unasikia anaumwa sasa hivi, maana yake siku zinaenda na zinapita. Pia mawakili wa serikali kwa umakini kabisa wanahakikisha wanatumia akili za juu kabisa asiile ile sikukuu ya kuabudu mizimu ya watu wa kule milimani.
 
Sasa wasiwasi wako ni nini ? Arusha wakiweka Jiwe na Ccm wakamuweka Uhuru Kenyatta ,jiwe litashinda
 
Kama atahukumiwa kifungo zaidi ya siku 90 automatically anavuliwa ubunge na kupoteza sifa za kugombea tena.
 
Kwanza kwa taarifa tu Lema yupo Arusha ndani ya Jimbo lake .hebu tafuta uongo mwingine
 
Nitafurahi sana ikiwa sheria iko hivyo. Maana atakuwa sero, na atagombea mtu mwingine. Hilo litakuwa somo kwake tosha.
Atagombea mkewe au mwanae na atapita kwa asilimia tisini na Tisa point Tisa tusa ,una lingine?
 
Wakuu kuna tetesi nimesikia kuwa mbunge asipokuwa katika eneo lake la kazi kwa zaidi ya siku 90 uchaguzi mpya utaitishwa

Je ni kweli?

Uzii huu usifutwe bali tuelimishane
Kwani eneo la kazi LA mbunge Si ni jimboni kwake? Na gereza la kisongo Si liko jimboni kwake?!!! Tuliza brain
 
Yaani wana arusha wanataka apotee kabisa kwenye anga za siasa ili liwe fundisho la kudharau mamlaka. Unajua arusha hawataki kabisa kumsikia ndiyo maana hata mahakamani hawaendi kumuangalia. Yaani hata kumsalimia pale gerezani hawaendi maana kesha wachosha kabisa. Na wana Arusha wengi wanatamani hata uchaguzi ungerudiwa leo ili wampige chini mharifu huyu anayesota sero
we unaota mchana
 
Back
Top Bottom