johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,152
Ni swali tu la Kufungia mwaka
Mfano Shilole ni Chawa lakini ana kampuni zake na ameajiri Watu, Ajira ni kipaumbele cha Ilani ya CCM
Mfano baba levo ni Chawa lakini anategemea Ajira kutoka kwa kada wa CCM au yule Mwijaku Chawa aliyeajiriwa Mawinguni
Nawatakia Heri ya Mwaka Mpya 2024!
Mfano Shilole ni Chawa lakini ana kampuni zake na ameajiri Watu, Ajira ni kipaumbele cha Ilani ya CCM
Mfano baba levo ni Chawa lakini anategemea Ajira kutoka kwa kada wa CCM au yule Mwijaku Chawa aliyeajiriwa Mawinguni
Nawatakia Heri ya Mwaka Mpya 2024!