- Thread starter
- #21
Ahsante mkuu. Nitalifanyia kazi mkuu.Habari hapa kuna mada 2 alafu zimechanganywa , kiufupi MWANAMKE ulie nae hana mikosi,isipokuwa ww umefanyiwa mambo ya kichawi ili ufilisike uwachane na mkeo,cha kufanya pambana kurudisha nyota yako mambo yako yatakaa sawa, kuhusu ukoo wa nane hiyo ni kweli watu wanawake au wanaume wenye mikosi yaani ukishirikiana nao kila kitu chako kinapote hata kama kazi unaweza ukasimishwa, kwa hiyo mkeo hana tatizo ww ndio umefungwa jifungue sasa