fundiaminy
JF-Expert Member
- Jun 4, 2009
- 355
- 51
Jamani c utani.mwaka wa kwanza nilipooa nilikuwa naweza piga raund kama nne hivi na my wyf.lakini baada ya mwaka ama miwili shoti moja tu nalala kama gogo.je? wadau niko peke yangu ama hiyo ndio siri ya usingizi??