je ni kweli alivyoimba remmy...siri ya usingizi ni mke?

fundiaminy

JF-Expert Member
Jun 4, 2009
355
51
Jamani c utani.mwaka wa kwanza nilipooa nilikuwa naweza piga raund kama nne hivi na my wyf.lakini baada ya mwaka ama miwili shoti moja tu nalala kama gogo.je? wadau niko peke yangu ama hiyo ndio siri ya usingizi??
 
kaka wa2 tulianza kwa mbwembwe.....nikitoka kazini kabla ya kula msosi wa usiku kimoja, kwenda kukoga bafuni tunakwenda wote, kimoja. kabla ya kulala kwenye saa 4 hivi, malavidavi + kimoja. usiku wa saa 8-9 hivi kimoja. asubuhi kabla ya kuoga na kuelekea kazini, kimoja. kwenye daladala full kulala njia nzima wakati ndo kwanza kunakucha.

sasa hivi tuna ka-baby.

uliza. saa 4-5 usiku kimoja mpaka asubuhi babake. na nikitaka cha pili lazima aikoroge kama simu za mezani za zamani.
 
Jamani c utani.mwaka wa kwanza nilipooa nilikuwa naweza piga raund kama nne hivi na my wyf.lakini baada ya mwaka ama miwili shoti moja tu nalala kama gogo.je? wadau niko peke yangu ama hiyo ndio siri ya usingizi??

kaka wa2 tulianza kwa mbwembwe.....nikitoka kazini kabla ya kula msosi wa usiku kimoja, kwenda kukoga bafuni tunakwenda wote, kimoja. kabla ya kulala kwenye saa 4 hivi, malavidavi + kimoja. usiku wa saa 8-9 hivi kimoja. asubuhi kabla ya kuoga na kuelekea kazini, kimoja. kwenye daladala full kulala njia nzima wakati ndo kwanza kunakucha.

sasa hivi tuna ka-baby.

uliza. saa 4-5 usiku kimoja mpaka asubuhi babake. na nikitaka cha pili lazima aikoroge kama simu za mezani za zamani.

...hii thread ikiendelea bila hali ya hewa kuchafuliwa tutafaidika wengi. Ukweli ni kwamba hupo peke yako fundiaminy,... hivi ni kwanini? :D
 
hapo ndio ndugu na bwana mbu natatanika.cjui nini hasa kiini.na zaidi nahofia kutumia madawa ya kuongeza nguvu kwani naambiwa fainali zake uzeeni.
 
hapo ndio ndugu na bwana mbu natatanika.cjui nini hasa kiini.na zaidi nahofia kutumia madawa ya kuongeza nguvu kwani naambiwa fainali zake uzeeni.

afadhali jamani,kumbe wengi mambo yanakuwa hivi,maana nilishaingiwa na wasiwasi ,MR kapata ....
 
...tukiendelea na mjadala huu kwa heshima na taadhima kidogo kidooogo tutapata suluhisho kwanini ukiwa uwanja wa ugenini (nyumba ndogo), stamina inaongezeka kuliko uwanja wa nyumbani! :D
 
...tukiendelea na mjadala huu kwa heshima na taadhima kidogo kidooogo tutapata suluhisho kwanini ukiwa uwanja wa ugenini(nyumba ndogo),stamina inaongezeka kuliko uwanja wa nyumbani!

hahaha.mbu sasa unaleta point nyingine safi.lakini je,kawaida kinacholiwa kwa siri c huwa kitamu zaidi?na vile hakiliwi kila cku.ama tuseme mawyf zetu wanaisha ladha kadri cku zinavyosonga?
 
kaka wa2 tulianza kwa mbwembwe.....nikitoka kazini kabla ya kula msosi wa usiku kimoja, kwenda kukoga bafuni tunakwenda wote, kimoja. kabla ya kulala kwenye saa 4 hivi, malavidavi + kimoja. usiku wa saa 8-9 hivi kimoja. asubuhi kabla ya kuoga na kuelekea kazini, kimoja. kwenye daladala full kulala njia nzima wakati ndo kwanza kunakucha.

sasa hivi tuna ka-baby.

uliza. saa 4-5 usiku kimoja mpaka asubuhi babake. na nikitaka cha pili lazima aikoroge kama simu za mezani za zamani.
mazee ni baiskeli hio mpaka uisimamie namna hio?
 
Kwa ambao hatujaoa bado darasa zuri sana hapa
we learn b4 we practice
Duh! kweli ndoa ina kazi
Ndio maana jamaa yangu mmoja ameoa siku moja tulikuwa road siku ya jumamosi zikapita kama HARUSI tatu hivi maeneo ya Ubungo akaniambia hawa na matarumbeta yao kilichomo humo ndani ya ndoa ni kichefuchefu tupu.
Now am getting him
 
Dah wakuu tunashukuru kwa Topic lakini kidogo mtatutisha, maana wengine ndiyo tunataka tuignie ndoani.Haya lakini huenda kabla hatujaingia likapatikana suluhisho.Atakayepata suluhisho jamani aliweke wazi wengine tukiingia tuwe tunajua jibu kabla ya swali.
 
mazee ni baiskeli hio mpaka uisimamie namna hio?

shangaa sasa mkuu..tusifananishe quality na quantity, nadhani wenzetu wanapenda kitu quality..chenye kuonyesha uzoefu...na sio mambo ya fasta fasta tu kumbe huna lolote unalifanya...
 
Dah wakuu tunashukuru kwa Topic lakini kidogo mtatutisha, maana wengine ndiyo tunataka tuignie ndoani.Haya lakini huenda kabla hatujaingia likapatikana suluhisho.Atakayepata suluhisho jamani aliweke wazi wengine tukiingia tuwe tunajua jibu kabla ya swali....hahaha..mkuu pole kwa kutishiwa lakini kuwa uyaone na kumbuka kwa muoga kicheko kwa shujaa kilio.
 
...ukitaka kuujua uhondo wa ngoma uingie uicheze, mnatishika na nini bana, fanyeni fasta fasta kuingia utamu usije kumalizika kabsa kabisaaaaaaaaa!
 
kaka wa2 tulianza kwa mbwembwe.....nikitoka kazini kabla ya kula msosi wa usiku kimoja, kwenda kukoga bafuni tunakwenda wote, kimoja. kabla ya kulala kwenye saa 4 hivi, malavidavi + kimoja. usiku wa saa 8-9 hivi kimoja. asubuhi kabla ya kuoga na kuelekea kazini, kimoja. kwenye daladala full kulala njia nzima wakati ndo kwanza kunakucha.

sasa hivi tuna ka-baby.

uliza. saa 4-5 usiku kimoja mpaka asubuhi babake. na nikitaka cha pili lazima aikoroge kama simu za mezani za zamani.


Wakuu mi nadhani tunasahau au tunakosea kitu kimoja. Kumjuua mpenzi/mke wako ni muhimu sana

lwa mfano , enzi hizo za 'ujana wako' ukichunguza, utakuta sawa ulikuwa unapiga 'bao nyingi' lakini sio za kiufundi na kwa hiyo ulikuwa pengine humfurahishi/fikishi mwenzi wako,

Ni bora mara mia ukapiga bao moja la kiufundi, la muda mrefu, tamu, ambalo wakati wewe unafika mara moja, wa 'ubani' wako anakuwa ameshafika hata zaidi ya mara moja/mbili/tatu kutegemea na hali halisi ya mazingira.

Kuna suala pia la wewe kumwona mke wako kama 'mama watoto' ambayo kwa upande wangu ni kosa kubwa...endelea kumwona kama ni mpenzi wako, mpya kabisa, na mnaendelea kufanya 'kila kitu' ambacho kilikuwa kinafanyika kabla ya kupata watoto..namna hiyo mtakuwa na raha na 'mood' ya kufanya mapenzi itaendelea kuwepo.
Ukijifanya kuwa sasa uko busy na kazi, eti na watoto wapo sasa inabidi ada za shule, mara ujenzi wa kibanda, mara nini, utajikuta unakuwa na msongo wa mawazo (stress) na bahati mbaya hivi vitu haviendani linapokuja suala la mapenzi.

Sisemi kuwa tusiwajibike, ila tuwajibike tukijua kuna wajibu mwingine unatusubiri unaohitajin ulinganifu wa majikumu ya kawaida na ya kitandani.

Niseme kwamba mkuu fundi huna tatizo, ni kiasi tu cha kubadili 'mfumo wa maisha', na kupiga bao nyingi sio afya wala ufundi, ufundi ni kumridhisha mwanamke...eeeeh.....hapo ndipo uanaume wako unapoonekana!

Mkuu Mbu hebu ongezea kidogo chukua kipaza sauti..............
 
Wakuu mi nadhani tunasahau au tunakosea kitu kimoja. Kumjuua mpenzi/mke wako ni muhimu sana

lwa mfano , enzi hizo za 'ujana wako' ukichunguza, utakuta sawa ulikuwa unapiga 'bao nyingi' lakini sio za kiufundi na kwa hiyo ulikuwa pengine humfurahishi/fikishi mwenzi wako,

Ni bora mara mia ukapiga bao moja la kiufundi, la muda mrefu, tamu, ambalo wakati wewe unafika mara moja, wa 'ubani' wako anakuwa ameshafika hata zaidi ya mara moja/mbili/tatu kutegemea na hali halisi ya mazingira.

Kuna suala pia la wewe kumwona mke wako kama 'mama watoto' ambayo kwa upande wangu ni kosa kubwa...endelea kumwona kama ni mpenzi wako, mpya kabisa, na mnaendelea kufanya 'kila kitu' ambacho kilikuwa kinafanyika kabla ya kupata watoto..namna hiyo mtakuwa na raha na 'mood' ya kufanya mapenzi itaendelea kuwepo.
Ukijifanya kuwa sasa uko busy na kazi, eti na watoto wapo sasa inabidi ada za shule, mara ujenzi wa kibanda, mara nini, utajikuta unakuwa na msongo wa mawazo (stress) na bahati mbaya hivi vitu haviendani linapokuja suala la mapenzi.

Sisemi kuwa tusiwajibike, ila tuwajibike tukijua kuna wajibu mwingine unatusubiri unaohitajin ulinganifu wa majikumu ya kawaida na ya kitandani.

Niseme kwamba mkuu fundi huna tatizo, ni kiasi tu cha kubadili 'mfumo wa maisha', na kupiga bao nyingi sio afya wala ufundi, ufundi ni kumridhisha mwanamke...eeeeh.....hapo ndipo uanaume wako unapoonekana!

Mkuu Mbu hebu ongezea kidogo chukua kipaza sauti..............

...kinachokatisha tamaa siku unapokuwa na kastamina ka kucheza extra minutes mama nanihii ananyosha kibendera juu, "...mnh, imetosha kha!"
bora hivyo hivyo, 90mins halafu usingizi mworrrrrroooo ro!
 
...kinachokatisha tamaa siku unapokuwa na kastamina ka kucheza extra minutes mama nanihii ananyosha kibendera juu, "...mnh, imetosha kha!"
bora hivyo hivyo, 90mins halafu usingizi mworrrrrroooo ro!

Mkuu huyo wa hivyo anakuwa hajafurahia mechi, mbona wengine tunatamanishwa kuendelea usiku mchana, yaani gemu lisiishe? lazima kunakuwa na tatizo mahali!
 
Mkuu huyo wa hivyo anakuwa hajafurahia mechi, mbona wengine tunatamanishwa kuendelea usiku mchana, yaani gemu lisiishe? lazima kunakuwa na tatizo mahali!

...No comment, Anything I do say may be used against me in a court of law :D
 
Back
Top Bottom