Habari wanajukwaa nimekosa amani tangu jumanne
ilikuwa hivi, nililala usiku nikaota ndoto nimepooza upande wa kulia,
Lakini ile kustuka kweli ule upande wote ulikuwa umepooza.
Nilikuwa na kiu kali sana ikabidi nimuamshe wife anipe maji ya kunywa.
Sikuweza kuyashika yale maji ikabidi aninyweshwe kwa mbinde sana nikayamaliza.
Basi nikarudi kulala huku nimepooza wife analia, ile kustuka asubuhi najiona mzima kabisa je ni dalili gani hizi?
ilikuwa hivi, nililala usiku nikaota ndoto nimepooza upande wa kulia,
Lakini ile kustuka kweli ule upande wote ulikuwa umepooza.
Nilikuwa na kiu kali sana ikabidi nimuamshe wife anipe maji ya kunywa.
Sikuweza kuyashika yale maji ikabidi aninyweshwe kwa mbinde sana nikayamaliza.
Basi nikarudi kulala huku nimepooza wife analia, ile kustuka asubuhi najiona mzima kabisa je ni dalili gani hizi?