Shujaa?? una matatizo nini! Yaani mtu alidiriki kuficha mambo mazito kwa maslahi ya ccm huku akijua kuwa kufanya hivyo ni kuliangamiza taifa, sasa hivi awe shujaa????kufwatia uthubutu alioufanya katika tume teule ya richmond na matokeo yake(kama inavyosemekana kuugua kwake kunahusianishwa nakulishwa sumu na maadui zake), je, mwakyembe tumhesabie kama shujaa wetu?
.......sifikirii hivyo kabisa, ataonyesha uthubutu atakaposema yale aliyoyaficha, hadi hapa mimi namwona mnafiki tu.kufwatia uthubutu alioufanya katika tume teule ya richmond na matokeo yake(kama inavyosemekana kuugua kwake kunahusianishwa nakulishwa sumu na maadui zake), je, mwakyembe tumhesabie kama shujaa wetu?