Je ni hadi lini tutaibiwa mlimani city?

murwani

Member
Apr 4, 2012
7
0
Kwa kweli naomba nisaidiwe au nitoe pole kwa wale wote ambao wameishaibiwa LAPTOPS zao pamoja na magari na vitu vingine vyenye thamani kubwa hapo Mlimani City.
Swali la kuuliza je, wahusika au wamiliki wa Mlimani city pamoja na Kampuni yao ya Ulinzi wanatoa fidia kwa walioibiwa mali zao? Na kama hawajawahi kutoa fidia ni kwanini waendelee kufanyabiashara wakati hawatoi usalama kwa wateja wao na mali zao?

Naomba maoni yenu ndg zangu!!!!!!!! KUHUSU KUENDELEA AU KUTOKUENDELEA NA BIASHARA HADI ULINZI WA UHAKIKA UWEPO.
 
Sijawahi kusikia kama kuna mtu kalipwa baada ya kuibiwa mali zake pale Mlimani City na kama yupo ajitokeze atuambie tujue maana sasa inakuwa tatizo mtu unafikiria mara kumi kumi kama uingie na gari yako au uipaki nje maeneo ya karibu au umwachie mtu akuoshee pale nje. Kuna siku nilipotelewa na kadi baada ya kuingia na gari ndani na nikawaambia askari wakantoa buku tano ili niondoke sasa imagine ndo gari ya mtu hiyo na hivo ndo inavoibiwa. Yawezekana askari hawajui au wanakula njama na wezi mule ndani.
 
Niwape jibu?
Boycott the place for a week, I mean in masses kama hawatatia akilini kuwa your patronage ndio inawek hiyo sehemu kuwa ya baishara. Wiki moja tu, mmiliki wa jengo atabanwa na hao wapangaji wake na hapo mambo yatakuwa sawa.

Kama kuna nia ya kweli, anzisha thread ya bocott of XYZ kwenye forums zote uone kama hapatakuwa na mabadiliko...
 
Niwape jibu?
Boycott the place for a week, I mean in masses kama hawatatia akilini kuwa your patronage ndio inawek hiyo sehemu kuwa ya baishara. Wiki moja tu, mmiliki wa jengo atabanwa na hao wapangaji wake na hapo mambo yatakuwa sawa.

Kama kuna nia ya kweli, anzisha thread ya bocott of XYZ kwenye forums zote uone kama hapatakuwa na mabadiliko...

Kweli..
 
Niwape jibu?
Boycott the place for a week, I mean in masses kama hawatatia akilini kuwa your patronage ndio inawek hiyo sehemu kuwa ya baishara. Wiki moja tu, mmiliki wa jengo atabanwa na hao wapangaji wake na hapo mambo yatakuwa sawa.

Kama kuna nia ya kweli, anzisha thread ya bocott of XYZ kwenye forums zote uone kama hapatakuwa na mabadiliko...

sure, this works.. but wauza sura wengi ndo wanaendaga pale na hawana magari, wala laptops....
 
Back
Top Bottom