Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,007
- 5,446
Poleni kwa misiba Watanzania,
Naanzisha uzi huu kama rambi rambi kwa mwanachama mwenzetu aliyefariki hivi karibuni mzee wa bomayeee, case closed, free education n.k, kifupi tutammiss kwa zile mbwembwe zake katika social networks.
Hoja yangu ni hii, nataka tufahamiane iwapo yupo yeyote aliyechezewa Green Card Lottery na yule jamaa pale Mlimani City nyuma ya lile ghorofa pale pembeni jina nimesahau.
Maana mimi jamaa alinigonga zaid ya 20 kunichezea ile lottery, chaajabu siku ananijazisha nakishangaa vitu vilivyojazwa vilikua very simple hata mi fomu yenyewe ka ilikuwa na sehemu nyingi ziliachwa wazi. nikasema mhhh mi ngosha bana kutoka nangende najua nini? Nikakausha baada ya kugongwa nikasema ngoja tuone.
Wallah juzi nacheki majibu yangu heeeh naambiwa "Fomu haikukamilika," nimeumia sana, sasa nikajiuliza ndio mana nilikuwa na wasi wasi au ndio namna wanavyojibu kwa walikosa nafasi?
Sasa wenzangu na mimi vipi mmekutana na majibu gani na je, nanyi mlijaziwajwe? Kuna aliyepokea ujumbe wa kubahatika kupata hio Green Card au tumepigwa?
Naanzisha uzi huu kama rambi rambi kwa mwanachama mwenzetu aliyefariki hivi karibuni mzee wa bomayeee, case closed, free education n.k, kifupi tutammiss kwa zile mbwembwe zake katika social networks.
Hoja yangu ni hii, nataka tufahamiane iwapo yupo yeyote aliyechezewa Green Card Lottery na yule jamaa pale Mlimani City nyuma ya lile ghorofa pale pembeni jina nimesahau.
Maana mimi jamaa alinigonga zaid ya 20 kunichezea ile lottery, chaajabu siku ananijazisha nakishangaa vitu vilivyojazwa vilikua very simple hata mi fomu yenyewe ka ilikuwa na sehemu nyingi ziliachwa wazi. nikasema mhhh mi ngosha bana kutoka nangende najua nini? Nikakausha baada ya kugongwa nikasema ngoja tuone.
Wallah juzi nacheki majibu yangu heeeh naambiwa "Fomu haikukamilika," nimeumia sana, sasa nikajiuliza ndio mana nilikuwa na wasi wasi au ndio namna wanavyojibu kwa walikosa nafasi?
Sasa wenzangu na mimi vipi mmekutana na majibu gani na je, nanyi mlijaziwajwe? Kuna aliyepokea ujumbe wa kubahatika kupata hio Green Card au tumepigwa?