Je, ni chuo kipi kizuri kusoma 'Course' ya 'Information Technology'?

Je, ni chuo kipi kizuri kusoma 'Course' ya 'Information Technology'?

Josephvic

Member
Joined
Jun 11, 2020
Posts
6
Reaction score
0
Habari zenu Wadau wa JamiiForums,

Kuna rafiki yangu anaitaji kujua kuhusu chuo kipi kizuri anachoweza kusoma Course ya Information Technology (IT)

Yeye amemaliza Form Four (IV) mwaka jana


Ushauri wenu tafadhali
 
Aende DIT, KIU au UCC ndiko kunamfaa.
Asijaribu hata kuifikiria UDOM pale ni kitu ingine ata disco semester ya kwanza tu
UDOM tatizo nini kiongoz?
UDOM inaelekea hafuati mambo za NACTE ukianza na certificate wanahitaji uwe na ufaulu wa B overal kuendelea na diploma wakati vyuo vingine ukifaulu tu certificate unagonga diploma. Kuanzia mwaka huu vyuo vingi chini ya NACTE vimetupilia mbali certificate na kwenda na version ya Diploma ya miaka 3.
 
  • Thanks
Reactions: Sax
Atafute chuo ambacho anaweza kupiga lab sio vyuo theory nyingi kama UD
Ajaende Unique pale akacheki
Unique wanaelekea kuwa wazuri lakini ada zao sio zile unazo ona kwenye matangazo ya NACTE, lazima uwe tayari kulipia pia professional courses watakazo toa. Kama uko sawa basi usisite kwenda huko.
 
UDOM inaelekea hafuati mambo za NACTE ukianza na certificate wanahitaji uwe na ufaulu wa B overal kuendelea na diploma wakati vyuo vingine ukifaulu tu certificate unagonga diploma. Kuanzia mwaka huu vyuo vingi chini ya NACTE vimetupilia mbali certificate na kwenda na version ya Diploma ya miaka 3.
Hivi bado wanaile system ya kupiga certificate ya IT alfu unajoin diploma ya computer science
 
Hivi bado wanaile system ya kupiga certificate ya IT alfu unajoin diploma ya computer science
Nafikiri bado wanayo ingawa mwaka jana walipunguza namba ya certificate zao na diploma zao za mambo ya computing.
 
  • Thanks
Reactions: Sax
Nafikiri bado wanayo ingawa mwaka jana walipunguza namba ya certificate zao na diploma zao za mambo ya computing.
Nampango wa kujiung IT hapo Arusha technical college
 
ATC wanaonekana wako vizuri na inaelekea wana misaada toka ughaibuni ya kuimprove infrastructure.
Yes,wanao wafadhili wa Norway na wanasponsor watoto wa kike ambao wameenroll kwenye kozi za uhandisi.
 
UDOM tatizo nini kiongoz?
Informatics yenyewe kama umeshawahi isikia au kuiona in a serious way ndio hutolewa pale.
.
Dogo hatapaweza aende mavyuo yakati huko na akienda.university aende vyenye mfanano na KIU kama anahuruma na ada ya mzazi wake.
madogo wanaokimbilia informatics UDOM semester ya kwanza tu wanarudi kwao
 
  • Thanks
Reactions: Sax
Informatics yenyewe kama umeshawahi isikia au kuiona in a serious way ndio hutolewa pale.
.
Dogo hatapaweza aende mavyuo yakati huko na akienda.university aende vyenye mfanano na KIU kama anahuruma na ada ya mzazi wake.
madogo wanaokimbilia informatics UDOM semester ya kwanza tu wanarudi kwao
Mbona sasa na mbwembwe zote lakini walidukuliwa
 
Back
Top Bottom