Nakubusu
JF-Expert Member
- Nov 3, 2022
- 840
- 2,017
😆 Kwahio huamin maneno,mpka picha jamanHongera sana, ilikuwa vyema iwapo utasindikiza na kapicha kako.
Please usi demand malipo kwa dollars tu 🤗
😆 Kwahio huamin maneno,mpka picha jamanHongera sana, ilikuwa vyema iwapo utasindikiza na kapicha kako.
Please usi demand malipo kwa dollars tu 🤗
Wanyantuzu husema "Action speaks louder than words" 🤪😆 Kwahio huamin maneno,mpka picha jaman
Kama una mtaji mkubwa na muda wa kutosha ni bora kuingia kwenye biashara ya nafaka kwa kufuata mashambani au ufugaji wa nguruwe/mbuzi, kwa mbuzi unaweza kununua kutoka kwa wafugaji hasa kipindi cha ukame na bei huwa chini, unawalisha na kuwahudumia vizuri baada ya muda unasafrisha kwenda miji mikubwa kama DSM, Mwanza na Arusha.Kuna
- Restaurant
- Saloon ya kike na ya kiume
- Duka la nguo
- Duka la nafaka
- Bar
- Duka la mangi
Katika biashara hizo ni ipi inalipa zaidi?
Kama una mtaji mkubwa na muda wa kutosha ni bora kuingia kwenye biashara ya nafaka kwa kufuata mashambani au ufugaji wa nguruwe/mbuzi, kwa mbuzi unaweza kununua kutoka kwa wafugaji hasa kipindi cha ukame na bei huwa chini, unawalisha na kuwahudumia vizuri baada ya muda unasafrisha kwenda miji mikubwa kama DSM, Mwanza na Arusha.Kuna
- Restaurant
- Saloon ya kike na ya kiume
- Duka la nguo
- Duka la nafaka
- Bar
- Duka la mangi
Katika biashara hizo ni ipi inalipa zaidi?