Mara nyingi najiuliza hili swali hivi sisi hapa Tanzania ni bidhaa gani tunaweza kuuza nje ya nchi ukiondoa biashara ya Ng'ombe,Mbuzi, Vitunguu tunavyopeleka Comoro? Kuna nchi wachovu tu kama sisi lakini zina uza sana mboga mboga, maua,pilipili, asali/nta,ndege,unga wa mahindi/mtama, mbuzi/kondoo vikapu,vinyago nk nchi za Uarabuni,Ulaya hadi USA
Hivi ni wapi naweza kwenda nikapata mwongozo mzuri wa kupata masoko ya bidhaa zetu za kawaida kabisa ukiondoa biashara za minofu ya samaki,madini, magogo inayohitaji huge capital na inafanywa na vigogo mafisadi
Ukiangalia kiundani utaona ni kama hatuna ubunifu sana wa biashara tunabaki kuigana tu, ukizunguka mji mzima biashara ni zile zile, yaani mtu unabiashara jina tu lakini kiukweli hazilipi kivile
Kuna haja ya kufikiria nje ya box, tufikiri kuvuka mipaka , issue hapa ni kujua masoko yalipo tu na na namna ya ku handle mzigo wako, mfano kama una export mboga mboga au matunda lazima kunakuwa na namna ya kuhandle ili vifike vikiwa fresh
Tusiishie kwenda Dubai, Hong Kong na China tu ku import nadhani tunao uwezo wa ku export pia kama tutatumia njia wanayotumia kuimport.
Nakaribisha mawazo na changamoto za ugumu wa kuikabili biashara hii, ila tukiamua tunaweza
PIA, SOMA:
Hivi ni wapi naweza kwenda nikapata mwongozo mzuri wa kupata masoko ya bidhaa zetu za kawaida kabisa ukiondoa biashara za minofu ya samaki,madini, magogo inayohitaji huge capital na inafanywa na vigogo mafisadi
Ukiangalia kiundani utaona ni kama hatuna ubunifu sana wa biashara tunabaki kuigana tu, ukizunguka mji mzima biashara ni zile zile, yaani mtu unabiashara jina tu lakini kiukweli hazilipi kivile
Kuna haja ya kufikiria nje ya box, tufikiri kuvuka mipaka , issue hapa ni kujua masoko yalipo tu na na namna ya ku handle mzigo wako, mfano kama una export mboga mboga au matunda lazima kunakuwa na namna ya kuhandle ili vifike vikiwa fresh
Tusiishie kwenda Dubai, Hong Kong na China tu ku import nadhani tunao uwezo wa ku export pia kama tutatumia njia wanayotumia kuimport.
Nakaribisha mawazo na changamoto za ugumu wa kuikabili biashara hii, ila tukiamua tunaweza
PIA, SOMA:
Biashara ya Kusafirisha Mazao Nje ya Nchi: Jifunze Utaratibu wa Kufuata, Changamoto, Faida na Uzoefu wa Wengine
Wadau, naomba kujua nini cha kufanya kabla sijaanza kusafirisha biashara nje ya bara la Africa. Nataka ku export chai na kahawa nahitaji nini kwanza. Kama ni leseni ni aina gani ya leseni, ama vibali na zinapatikana wapi. Asanteni WADAU WENGINE WANAOHITAJI KUFAHAMU BIASHARA HII Wana Jukwaa...
www.jamiiforums.com