Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,557
- 21,512
Wakuu,
Ndoa ni jambo jema. Siku za hivi karibuni vijana wengi wamekuwa wakichelewa sana kuoa. Vijana hao wa kiume wamekuwa na sababu zao tofauti tofauti.
Baadhi ya sababu hizo ni kuwa wanajipanga na maisha, kupata mke sahihi, wengine ni waoga maana wameona wanandoa wengine wameachana na wengine hawaelewani.
Swali langu; Je ndoa kwa vijana ni changamoto?
Tujuzane hapa
Ndoa ni jambo jema. Siku za hivi karibuni vijana wengi wamekuwa wakichelewa sana kuoa. Vijana hao wa kiume wamekuwa na sababu zao tofauti tofauti.
Baadhi ya sababu hizo ni kuwa wanajipanga na maisha, kupata mke sahihi, wengine ni waoga maana wameona wanandoa wengine wameachana na wengine hawaelewani.
Swali langu; Je ndoa kwa vijana ni changamoto?
Tujuzane hapa