Je, naweza kuwatongoza Mapacha kwa pamoja?

Je, naweza kuwatongoza Mapacha kwa pamoja?

kenny mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2021
Posts
322
Reaction score
902
Wakuu poleni na miangaiko ya hapa na pale niaje mazee wakubwa shikamoo, wadada pisi kali mambo vp warembo?

Any way nije kwenye point kuna mademu wawili mapacha nilifahamiana nao instagram nilianza kufahamiana na dotto so baada ya mazoea ya mda mrf atimae akanikutanisha na dadaake ambae ni kulwa so mazoea ya mimi na kulwa yakawa makubwa sana ukaribu ukanifanya nianze kumpotezea doto so kitu kilichonifanya nimtongoze kulwa nikijua fika kuwa hawezi nikaataa daaah kitu cha ajabu demu akanichomolea akaniambia hawezi kuwa na mimi.

So now nataka nimtongoze doto je wakuu je naweza kumtongoza doto maana doto nae mwanzoni alionyesha kunikubali hau nifanyaje??
 
Pre form one mnasumbua Sana! Anyway nenda kwao na hao mapacha kamuelezee baba yao hivi ulivyotueleza hakika atakuelewa na atakushauli.
 
Wakuu poleni na miangaiko ya hapa na pale niaje mazee wakubwa shikamoo, wadada pisi kali mambo vp warembo? Any way nije kwenye point kuna mademu wawili mapacha nilifahamiana nao instagram nilianza kufahamiana na dotto so baada ya mazoea ya mda mrf atimae akanikutanisha na dadaake ambae ni kulwa so mazoea ya mimi na kulwa yakawa makubwa sana ukaribu ukanifanya nianze kumpotezea doto so kitu kilichonifanya nimtongoze kulwa nikijua fika kuwa hawezi nikaataa daaah kitu cha ajabu demu akanichomolea akaniambia hawezi kuwa na mimi so now nataka nimtongoze doto je wakuu je naweza kumtongoza doto maana doto nae mwanzoni alionyesha kunikubali hau nifanyaje??
Wewe? Ni mwanaume?
 
Usiponitajia majina yao nitamwambia Mello au nikupeleke kwa modz wa zamu..nnao wanaofanana..yaan wenyew huwa wananicheka maana nishashindwa kuwatofautishaa...ila huyo mmoja ndo nanyanduaa..
 
Aliyeona avartar ya mtoa mada,

Nahisi harufu ya ubwabwa na mchicha mwiba hapa
IMG_20210917_185811.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom