DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 17,983
- 45,488
Nimepata Ada laki nne na meals and accommodation Mil2 na 99500 je naweza kusoma Chuo cha Ada ya Million moja na laki moja?
Chuo cha ushirika Moshi yesNimepata Ada laki nne na meals and accommodation Mil2 na 99500 je naweza kusoma Chuo cha Ada ya Million moja na laki moja?
Soma Tena Kisha jibu vizuri ..Ada inategemea na course unayotaka na level gani ya elimu ya juu... Je ni certificate, diploma, bachelor, au nini? Pia ufauku wako utakurahisishia kupata vyuo vya uma vyenye ada rahisi....
UDSM pale kuna ada kuanzia 1.3-2m
Chuo gani pia BS umepata?Nimepata Ada laki nne na meals and accommodation Mil2 na 99500 je naweza kusoma Chuo cha Ada ya Million moja na laki moja?