Challes Joseph
Member
- Aug 5, 2025
- 5
- 3
Mimi nimehitimu mafunzo ya ufundi umeme level 3 nilikuwa naukiza kama naweza kujiunga na mafunzo ya electrical engineering ngazi ya diploma
Ndio, kigezo uwe na ufaulu DDDD iwemo ya fizikia na Hesabu kwenye masomo ya shule ya upili.Mimi nimehitimu mafunzo ya ufundi umeme level 3 nilikuwa naukiza kama naweza kujiunga na mafunzo ya electrical engineering ngazi ya diploma
Sawa nashukuru kwa majibu yaka kiongozi lakini mimi nahisi kama nimepoteza sifa za kuendelea mana sikufanikiwa kusoma fizikia shule ya upiliNdio, kigezo uwe na ufaulu DDDD iwemo ya fizikia na Hesabu kwenye masomo ya shule ya upili.
Sawa nashukuru kwa majibu yaka kiongozi lakini mimi nahisi kama nimepoteza sifa za kuendelea mana sikufanikiwa kusoma fizikia shule ya upili
Sasa Electrical engineering na hujasoma phys inakuaje hapo?.Sawa nashukuru kwa majibu yaka kiongozi lakini mimi nahisi kama nimepoteza sifa za kuendelea mana sikufanikiwa kusoma fizikia shule ya upili
Kasoma Level 3 na ana VC3 kwa Guidebooks ya sasa Diploma anasoma kigezo ni VC3Sasa Electrical engineering na hujasoma phys inakuaje hapo?.
Uhandisi wowote km hujasoma fizi hugusi hapo.
Poleeee.
Huko level 3 hiyo VC3 aliipataje ikiwa o level hakusoma phys? Huu ndo uhuni wenyewee.Kasoma Level 3 na ana VC3 kwa Guidebooks ya sasa Diploma anasoma kigezo ni VC3
Veta huwa kuna masomo ya ziada tofauti na fani unayosomea sasa miongoni mwahayo masomo moja wapo huwa ni engineering science ambayo husimama kama phys o levelHuko level 3 hiyo VC3 aliipataje ikiwa o level hakusoma phys? Huu ndo uhuni wenyewee.
Lol
Kasoma Level 3 na ana VC3 kwa Guidebooks ya sasa Diploma anasoma kigezo ni VC3
Nashukuru kwa maelekezo yako sasa napenda kuuliza nichuo gani kinapokea kwa kizingatia vigezo nilivyo navyo mimiKasoma Level 3 na ana VC3 kwa Guidebooks ya sasa Diploma anasoma kigezo ni VC3
Ingia NACTVET search vyuo ni vingi na vyote vitakupokeaAsa
Nashukuru kwa maelekezo yako sasa napenda kuuliza nichuo gani kinapokea kwa kizingatia vigezo nilivyo navyo mimi
Ukijiunga na VETA ngazi ya Level 1&2 unasoma Physics kule inaitwa Engineering Science. Ukifaulu mtihani wa CBA (Competence Based Assessment) unapata VC2 kigezo cha kukufanya ujiunge na Level 3 ambapo utasoma masomo 5 pekee, somo la Physics halipo kwa ngazi hiyo. E/L ina hesabu zake sio kuanza kusoma mambo ya DENSITY huko Diploma wakati mahesabu kwenye Kozi ya umeme ni mengiHuko level 3 hiyo VC3 aliipataje ikiwa o level hakusoma phys? Huu ndo uhuni wenyewee.
Lol
Ooooh hapo sawaa.Ukijiunga na VETA ngazi ya Level 1&2 unasoma Physics kule inaitwa Engineering Science. Ukifaulu mtihani wa CBA (Competence Based Assessment) unapata VC2 kigezo cha kukufanya ujiunge na Level 3 ambapo utasoma masomo 5 pekee, somo la Physics halipo kwa ngazi hiyo. E/L ina hesabu zake sio kuanza kusoma mambo ya DENSITY huko Diploma wakati mahesabu kwenye Kozi ya umeme ni mengi