Crucifix
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 1,651
- 588
Baada ya kuona ripoti mbili uchwara (ile ya MCT na ya Ihema) ninashawishika kufuata nyayo za Mtikila kuiburuza serikali kwa pilato. Bila kuchukua hatua thabiti mambo haya yataendelea kuwepo sana kama alivyoainisha Manumba kule Iringa. Wadau nipeni ushauri na taasisi ninayoweza kuishirikisha maana mambo haya pia hayataki kuingia kichwa kichwa. JF muongozo......